Kalale maana jmaa inaonekana biashara yaenda vzur uck wa leoTulale au tusubiri?
Haya poaKalale maana jmaa inaonekana biashara yaenda vzur uck wa leo
Hata Mimi nakubaliana naweweSema hii story ya huyu mwamba ni ukweli mtupu kwa muono wangu.
Kimoko bas UMUGHAKA
Duuh wna kazi kumbe kwenye kuwaanda Asante @ mnyalukoloHawa dagaa ni wakubwa kwa umbo kuliko awa wa kawaida wao wana miba kwenye ncha za migongo na tumbo lkn pia hubabuliwa na moto kabla ya kuingizwa sokon
Umuuuu njoo bas kipenz chetuuMuite kimahaba afike hapa haraka
Nimesoma kwa sautiUmuuuu njoo bas kipenz chetuu
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Duuh wna kazi kumbe kwenye kuwaanda Asante @ mnyalukolo
🤣🤣🤣🤣🤣Nimesoma kwa sauti
Umuuuu njoo bas kipenz chetuu
Kipande cha @Umhugaka kushika bunduki na kuua mtu kwa Mara ya kwanza nakisubiri kwa hamu sana
Wakurya wanaelekea Arusha kuchukua hela kwa Wachaga, Wameru na Waarusha.Alishatoa angalizo kabisa tuvumilie maana kuna mambo ya hatari sana, mishe za kuteka magari, machimboni ndio zitazaliwa hapo na kuvamia wenye pesa majumbani kwao ngoja tumsubiri tuone itakuaje
Kamwene unigageeeUgali wa udaga na ufuru
"UFURU" hawa ni aina ya dagaa wanaopendwa xn kanda ya ziwa binafs nmewatumia xn kipindi nikiwa kishapu-shinyanga kwa takriban miaka 10 ktk mihangaiko angu ya utaftaji mkate wa siku
Saiz nko nyumban njombe napika, napakua na kula vya wanyalukolo