Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani


Namba mbili umeharibu, so bodaboda hapaswi kuwa akili. Kuna watu wana masters wanapiga hizo mishe sembuse form6 failure???
 
Mbona jamaa story zote anamaliza
Mijamaa mingi inamshobokea Umaghaka Sijui.

Watu wachache Tumeelewa huu mchezo hii ni stori ya kutunga.

Wala Haitaisha.

Story za kutunga Jf mwisho wake ni hapa.

Muulizeni mpwayungu villa
 
Mimi niliwaambia.
Hatua aliyofikia story haiwezi kuendelea maana huko anagusa kazi za serikali moja kwa moja.
Nikajibiwa ooh hii story tu.

Sent
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…