Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Bro kwa detail alizozitoa hapa hatuwezi kumkosa tukimuhitaji
 
Pole sana kwa kipigo cha mwizi
 
Wewe ndo mwanaume sasa nakubali
 
Mara hatokagi boya[emoji106][emoji106][emoji106]
 
Nasubir iishe ndo niifatilie vizur , sitaki kimuhe muhe cha kuachiwa utamu njiani😁
 
hizo Shahawa unazomwagiwa na Mabasha zAko zimekuharibu sana Ubongo. Zero Brain wa JF
Leo nipo na ninyi vilaza. Hasa wewe mtunga hadithi halafu unatumia ID zako nyingine kutaka waibia watu. Sisi wengine tuna akili. Lete episodes nyingine hapa tupoteze muda tupo mapumzikoni. Ila kuomba omba pesa ukome. Hatukuomba utunge hizi stories. Ni kukosa kwako kitu cha kufanya ukaona utuburudishe. Sasa leta burudani hapa.😁😁😁😁😁😁
 
Jamaa inaonesha ndo wale watu ambao maisha yao yapo straight yani mtu kasomeshwa shule ya msingi nzuri ,secondary nzuri kafaulu vizuri alilishwa vizuri na wazee ametafutiwa kazi nzuri ila kuna watu wanaraha sana haya maisha kila kitu wamefanyiwa kmmk [emoji16].

Sasa ndo unawakuta wanabisha tu kila kitu wakiambiwa hawaijui dunia wao ni school - chuo - kazini asubuh hadi jioni

Mimi nishapewa Mil1.5 kuna dili ilitakiwa tukamilishe yani ile ilikua kama kishawish tu yani chambo unavutwa moyo uingie mzima mzima kwenye game na hayakuwa malipo yani iyo fanya maandalizi yako ujitengeneze kimazingira ya kazi baada ya wiki nikapewa tena kama laki 4
Nilichokifanya nilikimbia na ile pesa moyo wangu haukuwa tayari kufanya ule mchongo kwaiyo kupewa pesa kabla ya kazi kwa ishu haramu ni kawaida

Ila ndugu zangu aya maisha bora usakwe na polisi unaweza pona ukaishia nyuma ya nondo sio wahuni
Now nipo free nilisha clear tofauti zangu na wahuni[emoji16]
 
Duh...
Mental illness ni tatizo kubwa nchi hii
 
Ni sawa kujiajiri ni kuzuri ila hii ya Bodaboda kupiga 90,000 per day mzee ni TATEPA.
Nina rafiki yangu bodaboda kwa siku anaweza pata hata 70000+ akikomaa kazini ila ni mvivu. Laiti kama angekuwa ana malengo na anatamani kuyafikia ana uwezo hata wa kulaza laki kwa siku. Ni vile bado hana majukumu so siku akipata hela ya kula,ya bosi na mafuta anarelax mpaka akamatike ana shida anapiga kazi sana. So ni kawaida
 
Sawa baba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…