Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani


Hizo ikisafishwa saa kumi na mafuta yake ikakauka vizuri, ikitoa kitu kwanza inaacha umande au moshi moshi hivi, advertise ni mguuni, kwanza mifupa inaitika, hapo mna kofia sweta zenu na makoti marefu meusi ya nailoni na pull neck ni kutamba tu uwanja wenu panatulia sana eneo husika hata kujamba mtu hawezi sana atajikojolea tu,[mention]UMUGHAKA [/mention] njoo umalizie mzee wa kazi watu tufanye shughuli zetu nyingine
 
Yaani ulikuwa boya sana. Nafasi mbili ulizichezea. Ya kwanza huyo tajiri yako alikuwa anajua sana madili. Kwanza alikuwa hawasiriani na wewe mara kwa mara. Pili alikuwa hajawahi kukuuliza uko wapi.

Tatu mwanamke wake alikuwa hajawahi kukupigia. Hizo sheria zote ilitakiwa uzitii na kuzikarili, sio lazima uambiwe ndio sheria za kazi. Hivyo baada ya meanamke kukupigia tena wewe pia ulitia shaka jinsi alivyoongea na wewe. Na pili simu ya boss wako umepiga inaita tu. Na unajua mnafanya kazi isiyo halali.

Hiyo ilikuwa nafasi yako ya kwanza Ku-escape. Pili umeshajiingiza mzima mzima na umejua hawa mandata. Umepewa nafasi kupita nao kitaa hujafungwa pingu na kuna mahala ulibaki wewe na mwela mmoja tu. Najiamini sana kwenye mbio.

Nikimuacha mtu hatua moja tu ahesabu maumivu. Siwezagi kuvumilia niingie selo na nafasi ya Ku-escape iko mikononi mwangu
 
Pesa pesa pesa

#MaendeleoHayanaChama
 
Hapana walikuwa na umuhimu sana nani angemdhibiti kijana mwenye pesa(magige) na nani angefukua vigae Ili atoe lile burungutu la bosi? Na pia waliwekwa Ili waendelee kupata experience ya kuwa na moyo mgumu (ujambazi).
Nadhani Pia ili wakikamatishwa wao kama wao wafe na tai shingoni mabosi waendelee kusavaivu ikumbukwe hata ubananishweje unakufa na siri!
 
Au kuna epsode sjaisoma!
KUNA EPISODE HUJAONA..WALIPELEKWA PALE KWA MGANGA UNAPEWA NAMBA THEN UNAKATIWA KIPANDE CHA ARDHI ULIME UKISUBIRIA UITWE KUOGESHWA DAWA.
 
Huyu boss wao itakuwa alikuwa msomi yaani haamini kabisa mambo ya waganga,ingekuwa ni genge lingine la ujambaz lazima Umughaka na Mtatiro wangeoga dawa kwanza au wangepelekwa kwa Sangoma kuwekwa vizuri
You are not paying attention to details.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…