Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Tatizo la humu kujua kwingi....kiukweli mimi post za ujuaji sipotezi muda wangu kusoma. Uzuri Umughaka mwenyewe anawapotezea tu.
 
Mkuu nimefurahi kuona mandhari ya Nhungumalwa kwenye hii story hata alhamis juzi nilikua pale mnadani[emoji4]
 
Shukran sana kaka UMUGHAKA

Kama kuna nyingine tunaomba tuletee. Mimi kama nilivyokwambia nitakuja bunju hapo Tupate beer mbili Tatu na Tupige story mbili tatu za akina Mwisse [emoji23][emoji23][emoji23]

Ila hadithi yako imejaa Mafunzo mazuri sana kwetu wapambanaji. Tumejifunza mengi

Stay Blessed [emoji2936][emoji2936]
 
Lazima tuonane,mwamba
 
Stori nzuri sana ina mafundisho mengi,, lakini kilichonivutia zaidi jamaa ana roho flani ivi ya kusamehe sana na kupotezea vitu

imagine mtu anafanya kazi ya uvuvi halipwi na anaacha hasemi ata neno anaamua tu kuondoka.

Jamaa amedhulumiwa milion 9 na ndugu yake na bado amesema akaamua amwachie Mungu.

Hongera Mkuu una moyo wa tofauti sana amna kitu kinauma kama dhulma ni kitu kibaya sana,, nakumbuka kuna ukoo ulikua unazika mtu kila baada ya miezi mitatu sababu kuna walifanya dhulma ya mashamba kwenye ukoo mwingine.
 
Kwani sh.ngapi?
 
Heheeeee..kumekucha.

#MaendeleoHayanaChama
 
Tatzo watu wameangalia movie sasa wanataka na jambazi wa kibongo awe kama wa kwenye movie zao
 
Nimependa imani yako imeongezeka na umeujja ukweli na uhalisia wa maisha. Umetupa elimu kulingana na mpito yako toka mkasa ule wa kwanza hadi huu.
 
Mwamba Jipe hakutaka kufia kitandani we ndo shujaa wetu wa muda wote umu jf
Acha ujinga wewe kwahyo unaona Ni sahih kwenda kufamia watu kuwaua wasio na hatia ?.mbna hat umughaka Hapa pesa zote alizozipata zote zimezulumiwaa kak short cut is always a wrong cuts ,ona sas amekufa na umughaka Hapa pesa zote amezulumiwa na kuamua kuwa dereva boda boda, hi story siyo ya kufarahisha Ni ya kufindisha haswa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…