Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Mkuu mlikuwa mnapata taarifa kupitia vyanzo gani kujua kama sehemu fulani kuna pesa na nyie kwenda kuvamia au mlikuwa mna bahatisha?

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
My MCE (man crush everyday ) ni UMUGHAKA
Tena wewe ni JF man of the year kwa maoni yangu. Wanaume wengi wanaposimulia simulizi kama hizi mara nyingi huwa wanasusa kutokana na kelele na kukatishwa tamaa na wana JF wenye mdomo ila wewe umekaza hasa hadi umemaliza.

Wewe ni kidume na nusu.
Shukrani sana UMUGHAKA
 
Nakadori kama Nakadori
 
Usiku anapandisha ya mabinti wa kitanga walivyosababisha apate zero form 6.
Papuchi zilivyomnogea.
Angalizo:iwe Ni usiku kwa usiku kwa above 18 tu.
 
Ahsante sana UMUGHAKA kwa story nzuri na yenye mafunzo makubwa, mbali na comments za kuudhi hukutuangusha umeendelea kutupa episodes, hatuna cha kukulipa kwa muda bundle na upendo wako.

Mungu atakujaalia uinuke tena sababu wewe ni mpambanaji ๐Ÿ‘๐Ÿฟ๐Ÿ‘๐Ÿฟ๐Ÿ‘๐Ÿฟ
 
Mwaga sifa Mama ..

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Mbususu yenye viwatilifu.

Aisee.

Hii ya leo mpya.๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
๐’๐ข๐ฆ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐ข ๐ญ๐š๐ฆ ๐ฆ๐ฉ๐š๐ค๐š ๐ง๐š๐ค๐ฎ๐ญ๐š ๐ง๐š๐œ๐ก๐ž๐ค๐š ๐ฉ๐ž๐ค๐ž ๐ฒ๐š๐ง๐ ๐ฎ ๐š๐ฌ๐ž๐ž!! ๐ก๐จ๐ง๐ ๐ž๐ซ๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐ฎ๐ญ๐ฎ๐ง๐ณ๐ข

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Booojooo kaziroooooo ๐Ÿ™†๐Ÿ™†๐Ÿ™†๐Ÿ™†๐Ÿ™†Kumbe na Bukoba mshavamia! Iiinnyweeeeee๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ in nshomiles voice ๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž
 
Tupo.Ndugu yetu kawakilisha vyema kwa uvumilivu na unyenyekevu mkubwa kama ilivyo Asili yetu ya kikurya huwa hatutishwi na maneno ya watu Big up Mura Umughaka

Tafsiri ya neno Umughaka kwa kiswahili ni Mwanaume kwa wasio jua
Ahsante kwa taarifa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ