Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Hii hadithi inaweza kuwa ya kweli tukio la wizi kwa mfanyabiashara ya dhahabu pale Kahama; na kupigwa risasi ni kama nalikumbuka
Mi nashangaa mtu anaesema anatunga. Kwanini raia wajuaji hivi. Wanaacha kusoma na kunyamaza wanakuja na ujuaji
 
Waswahili tuna majungu sana ndugu yangu!

Na hii inatufanya tunakua na nafsi kama za kishirikina hivi, tuna roho kwatu, tuna mioyo ya kizombie... Kifupi tuna mambo ya kipuuzi sana.

Yeye mwenyewe apo anatumia ID fake hakuna aliyemuuliza wala kumhoji hivi ama vile...

Sasa ndugu yetu hapa UMUGHAKA kaamua kujichukulia mda wake kutoa simulizi yake no matter ni kweli ama si kweli lakini kwa werevu hujifunza kwa kila mtu anenalo.

Sasa badala ya kufatilia story, watu wanaanza kujadili maisha ya mtu! WTF, aliyeturoga nani sisi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Story kama hivo ipo kwa lengo la kujifunza na kujiburudisha, Kutaka kuyajua sana maisha ya mtu binafsi hicho ni kihere here na ushilawadu wa ki**nge!

Hapa tusome story, tumalize tupite kule... Sasa mtu anakataa story sio ya kweli utafikiri alikuwa anaishi nae jamaa 24hrs a day maisha yake yote so anamjua nje ndani hivo amekaa kinaba naba kumthibitisha!

Tukiamua kuamini story tuamini... Anayeona ni chai abaki hivyo hivyo ila wa kujifunza kutokana na story husika watajifunza pia!

Waswahili tupunguze Ramli zisizo na maana!
Kweli ndugu yangu sijui baadhi sijui tutakuja kubadilika lini yaani anaweza kusifia leo kesho akakuponda sijui ata alieturoga aiseee
 
Basi bodaboda ni wewe.
Kwani desktop inauzwa Bei gani Hadi bodaboda wasiwe na uwezo wa kuzimiliki?
Bodaboda kibao wanamiliki familia nini desktop?
Desktop limsaidie nini boda boda,acha ulongo
 
Someni na kuelewa kuna kitu humu,mnaosoma na kukimbilia ku critisize bila kupata mawili matatu mna matatizo.

Mtanzania kusoma ni vitu viwili tofauti halafu, utaona mambo wanayobishana mara ni story ya Kutunga mara sio kweli, weledi anaandika nimejifunza moja mbili tatu, mapoyoyo ndio ubishi yaani ni kama wachawi wanataka ukikosea wapate cha kusema ukipatia wanakaa kimya, hao ndio wabongo, hujawahi kushtuka kua mtanzania akisikia umepata matatizo atakuja kwako na atakaa muda mrefu kukupa pole, lakini akisikia unamafanikio fulani hongera unapewa kwa dakika chache na baada ya muda anaanza kukupiga vita, tena kwenye matatizo anakupa pole huku akikueleza hiyo ni mipango ya Mungu yataisha tu , hongera anaisema kavu kavu tu
 
Mtanzania kusoma ni vitu viwili tofauti halafu, utaona mambo wanayobishana mara ni story ya Kutunga mara sio kweli, weledi anaandika nimejifunza moja mbili tatu, mapoyoyo ndio ubishi yaani ni kama wachawi wanataka ukikosea wapate cha kusema ukipatia wanakaa kimya, hao ndio wabongo, hujawahi kushtuka kua mtanzania akisikia umepata matatizo atakuja kwako na atakaa muda mrefu kukupa pole, lakini akisikia unamafanikio fulani hongera unapewa kwa dakika chache na baada ya muda anaanza kukupiga vita, tena kwenye matatizo anakupa pole huku akikueleza hiyo ni mipango ya Mungu yataisha tu , hongera anaisema kavu kavu tu
Humu kuna vitu vingi mnoo vya kujifunza hasa sisi kama wazazi,serikali na jamii kwa ujumla..ila watu ambao wao kila kitu ni mabishano na masihara hawawezi kujua.
 
Hv UMUGHAKA matatiro alijifunza silaa saa ngapi ,je aliwai kutumia hapo kbla au kuna mahali mlienda kufundishwa ila hukueleza hapa ,, nauliza hvyo kwa sababu jipe anamuambia mtatiro ahakikishe risasi sinakuwa kwenye chemba muda wote ,je mtatiro anaelewa chemba vzr kweli au alikuwa anaitikia tu

Samahani lkn mkuu[emoji23]
Utunzi sio jambo jepes kaka, ninkipaji adhiim
 
Humu kuna vitu vingi mnoo vya kujifunza hasa sisi kama wazazi,serikali na jamii kwa ujumla..ila watu ambao wao kila kitu ni mabishano na masihara hawawezi kujua.

Huwezi kuamini kuna mafunzo makubwa na wengine tuliyapitia kabisa, mtu hajaona kua mtoto akikosea usimfukuze mtafutie plan B afanye nini, lakini kua karibu na mtoto wako ili awe huru kukueleza yanayomsibu ndio unakuta mtoto anakua shoga unaanza kulalama wakati wewe mwenyewe ulikua kila leo unamswaga nenda sunday schoo au nenda madrassa mtoto anaenda hana raha hata hujiulizi kwa nini, haya kwa mtafutaji ni kusaka fursa halali uhalifu haulipi ni laana nenda sumbawanga kaanze kulima vitunguu hata robo eka uanzie hapo, haya usimwamini rafiki ambae unaona anakupoteza yote hayo watu hawayaoni kazi ubishi tu
 
Nimepata amani baada ya kuona amelike hapo naamini soon tutamwagilia moyooo!!
Screenshot_20221104-144421.png
 
Hii story ni ya moto sana jamaa kataja hadi ninapoishi hadi watu ninaowajua, itoshe kusema this story based on true story[emoji47][emoji47]
hii story ni ya kweli,ingekuwa ya kutunga asingerukaruka sana,pesa bandia,mvuvi,mpiga debe,jambazi...mtunzi hawezi weka hayo kwa pamoja..
 
Back
Top Bottom