Dondola anakupiga, alafu anakufata tenaAisee pole, hadi unajiachia kwani hao dondola walikua bado wanakufata? Au ni maumivu yake tu hadi watu wanaachia mti na kuanguka? Kama nakuonà ulivobakiwa na manundu ya dondola[emoji23][emoji23]
Aisee sijawahi kukutana na kisanga cha dondola , hapo kama ngumi ya matumla 😂😂 i can imagine.Dondola anakupiga, alafu anakufata tena
Mdukuo wake mmoja kama ngumi ya matumla
Alafu wanakua wachache, watano au wanne hivi. Lakin utatamani ungepigwa ata na jiwe
Acha na mdudu anaeitwa nyigu real definition ya jeshi la mtu mmoja
Kuna mshikaji wangu alipigwa na dondola mdomoni
Yani kumtenganisha na nguruwe hadi uwe nae karibu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kwanza ukipigwa kama mdhaifu mdhaifu unaishiwa maji mwiliniAisee sijawahi kukutana na kisanga cha dondola , hapo kama ngumi ya matumla [emoji23][emoji23] i can imagine.
You mean huyo mshkaji alivimba kama kitimoto?[emoji23][emoji23] afu naskia wakikung'ata wengi unaweza kufa sumu yake?
Dah mkuu😂😂😂 but why hayo maeneo si wangeuma sehemu zingine zozote tu, ukorofi tu wa hao waduduKwanza ukipigwa kama mdhaifu mdhaifu unaishiwa maji mwilini
Binafsi nyuki ndio wamenidonoa sana, nyigu mara chache sana zile za kustukiza tu
Dondola wangekua wengi kama nyuki, ingekua hatari zaidi, maana hao wachache tu wakikupatia uso unabadilika ndani ya sekunde tu
Alafu wanauma maeneo nyeti sana, kwenye kope, sikio, mdomo na pua
[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji16][emoji16]Dah mkuu[emoji23][emoji23][emoji23] but why hayo maeneo si wangeuma sehemu zingine zozote tu, ukorofi tu wa hao wadudu
Sawa Lea ndoaMimi mzima kabisa.
Sawa Lea ndoa
Hujaachaga tu fujo zako..!😀😀
Ndoa ipi tena si tulikubaliana mimi nawewe tunafunga ndoa mwaka 2022 unaingia mitini tena.
Umenikumbusha tukio la mshikaji wangu fulan hivi. Ila yeye aliporomoka mpaka chini japo na urefu haukuwa mkubwa sana na alidondoka kwenye majani[emoji16].Tukio lililonitokea nikiwa darasa la tatu.
Ikiwa muda wa masomo umemalizika, nikiwa na wanafunzi wenzangu, tunapita jirani na mti wa mzambarao. Mti ule ulikuwa umesheheni zambarao zilizoiva na nono zaidi, wale waliyopitia maisha haya nadhani wananielewa vizuri. Mti huo ulikuwa mrefu mithili ya futi 60 hivi za urefu basi, kwakuwa nilikuwa mtundu nikasema ngoja nikwee nikajiangulie yaliyo mazuri zaidi. Nilimkabidhi rafiki yangu mfuko wangu wa madaftari uliyojulikana kama sport enzi hizo, nikamwambia nikidondosha zambarao unanihifadhia. Nilipofika mtini nikasema ngoja nile kwanza halafu nitashusha zingine. Baada ya kutosheka kula nikaanza kuangua na kumdondoshea rafiki yangu ahifadhi.
Nilipokuwa nadondosha zile zambarao nilisikia huko chini wakibishana na yule rafiki yangu akiwaambia ‘mimi ndiye ninayemkusanyia.’ Juu ya mti zambarao zile nono huwa zinatabia ya kuwa kwenye matawi membamba ya pembezoni nikajisemea isiwe tabu, basi nikashika tawi nene mkono wa kushoto huku mkono mwingine nikijinyoosha kufikia hizo zambarao na kumbe lile tawi nene lilikuwa na wadudu ambao tulikuwa tunawaita nyugi (wasp) jamii kama ya nyuki. Kumbe nilivyokuwa najinyoosha ndivyo nilivyokuwa natingisha kile kijumba chao na nilipokaribia kukamata kitawi chenye zile zambarao nikasikia kama mtu kanidunga sindano ya sikio, kwa wenge nikaachia lile tawi nene, mama yangu!!!! Nilisikia pwaaaaaach, parapataaaaa, kurukunguuu…… nikiwa katika hali ya taharuki nasikia huko chini zinakuja nyingi naomba na sisi tukuokotee bila kujua kuwa nilikuwa mimi mwenyewe ndiye naporomoka kama jackie chan kwenye movie ya who am I. Mungu saidia nikanasa kwenye matawi ya katikati huku jasho uchafu ule unaotoka kwa kujificha vyote vimenienea. Ile kama napata hafueni lile tawi lililonikwamisha pale likavunjika bahati nzuri nikawa nimekanyaga mti wenyewe. USIOMBE YAKUKUTE.
Wanasemaje mang'ula bMizambarau inatabia ya kuteleza na miti yake rahisi sana kukatika, hasa kipindi cha mvua
Udogoni nilikua na dance sana juu ya matawi, hadi mwenzetu alipokata moto kwa kuanguka juu ya mzambarau pale kijijini mang'ula (mwaya )
Zamani sana mkuu, nahisi wako poaWanasemaje mang'ula b
Aisee sijawahi kukutana na kisanga cha dondola , hapo kama ngumi ya matumla [emoji23][emoji23] i can imagine.
You mean huyo mshkaji alivimba kama kitimoto?[emoji23][emoji23] afu naskia wakikung'ata wengi unaweza kufa sumu yake?
Kwanza ukipigwa kama mdhaifu mdhaifu unaishiwa maji mwilini
Binafsi nyuki ndio wamenidonoa sana, nyigu mara chache sana zile za kustukiza tu
Dondola wangekua wengi kama nyuki, ingekua hatari zaidi, maana hao wachache tu wakikupatia uso unabadilika ndani ya sekunde tu
Alafu wanauma maeneo nyeti sana, kwenye kope, sikio, mdomo na pua
[emoji16][emoji16][emoji16]
Unamzungumzia huyu wa Mwanza ninaemfahamu na mimi, yeye matibabu yalishindikana akakatwa mkono wa kuliaWatu waliokulia vijijini zamani walikutana na kashkash za kila aina kwa sababu ya utundu.
Kuna kijana alipata ulemavu mbaya sana sababu ya hayo matunda ya zambarau.