Nilivyonusurika kubakwa na msichana

Na kubakwa na wananchi wenye hasira kali umenusurika mara ngapi
 
Kwa huyo "demu" ulinusurika, ila kwa mwalimu wa mwandiko sidhani kama ulitoka salama!
 
Hebu tuachane na mwandiko kwanza, mwanaume unavaa chupi?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
show haikua hata na nukta

hongera kwa kuepuka kubakwa
 
Kazi yote hiyo hata dakika haijapita? na ndom juu
 
Kwa style hii chadema hampati kura huu mwaka
 
Aisee! Hasheem Rungwe akichukua dola, sijui vijana watajikwamuaje?

Haya ni matokeo ya shibe za ubwabwa
 
Aisee! Hasheem Rungwe akichukua dola, sijui vijana watajikwamuaje?

Haya ni matokeo ya shibe za ubwabwa
Hv michezo imechezwa toka enzi za nyerere msimsingizie mzee wa watu ata asipopata ata kura moja haya mambo yapo na uatazid kuwepo
 
Ndo maana hata ule uzi wako wa Kampala University nilijua ni chai. Tatizo la ukosefu wa ajira ni kubwa kwa sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…