- Thread starter
- #61
Funguka unaguna nn ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Funguka unaguna nn ?
Ndio hatujakataa ata wanaume wanabakwa na wake zaoMAANA YA KUBAKA KISHERIA
Mtu yeyote ambaye bila halali atafanya tendo la ndoa na mwanamke au
msichana bila idhini yake, au kwa idhini yake ikiwa idhini hiyo kaipata kwa
nguvu au kwa njia ya kuhofisha au kutishia kwa namna yoyote au kwa hofu ya kuumizwa kiwiliwili, au kwa njia ya madanganyo juu ya namna ya kitendo chenyewe kilivyo au, kwa upande wa muolewa, kwa kujifanya ni mumewe.
KWA ASILI ANAYEBAKWA NI MWANAMKE
ya maziwa na chai,,,Chai