Nilivyooa Kimasihara

Hilo umezungumzia kwa upande wenu tena kwa aliye bikra. Kwangu bado ni ngumu kumeza nilale na kigori akiwa wa mnyama na kusitokee maajabu yoyote.

Brotherhood itanifukuza chamani
 
Sijaona ulipo-cut story short..

baada ya hiyo statement ndio ukatushushia waraka wa amani. Kama tungekuwa wayahudi basi tungeshindwa kula na kunywa
 
Ngumu sana kuwaaminisha watu kuwa unaweza bahatisha bikra, I had one, I hit the bull, got married, now 9 years with two kids. Successful marriage so far.
 
Mkuu ebu tengeneza scripts uwauzie wacheza movie upige hela bana😅

BTW,nimependa mtiriko wako story nzuri Sana
 
Unaweza kulala na stranger uchi ukiwa uchi?

Mwanaume unalala na mwanamke akiwa uchi halafu kisitokee chochote?

Hizo ni points tosha kuna chai hapa au ameonfeza chumvi kupitiliza.
Hili nalo neno.Wakati nasoma nimejaribu kuimagine kwamba ndo Mimi nimeitwa kwa kazi moja alafu nigome kurudi hostel na hela ya kazi niiikatae🏃🏃
 
Unplanned love unplanned marriage last longer than planned one story yako imethibitisha hilo.
 
Daah Mwanangu hapa umeniangusha Kumanina Zako🤣🤣
Kweli bana tulilala mnara unasoma 5G ila nilijikaza kisabuni. Ila yeye alijua lazima nimtafune hiyo siku. Kumbuka tumelala mimi nimevaa boksa yeye yuko naked kabisa.
 
Kun faiyya- kun watabriq
Uilambe hii koni pekee..usilambe koni ya nyama, hakika itakutoboa kote kote kama hutokua makini..
sikuwahi fkiria kam utakuja nifkia we mzee wa fix
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…