mjusilizard
JF-Expert Member
- Nov 7, 2019
- 1,027
- 1,869
- Thread starter
- #21
😂😂😂 Hapana mkuu. Masaa tisa ya kazi sikosekani kaziniOfisi yako umeiibia, sema ukweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 Hapana mkuu. Masaa tisa ya kazi sikosekani kaziniOfisi yako umeiibia, sema ukweli
Yaweza kuwa sahihi ila si kwangu. Ni kazi halali kabisaHawa jamaa huwa wamejificha kwenye kivuli cha kazi kufanya uhalifu, ukiangalia mshahara na matumizi yake haviendani kabisa
XTrail😊Em shusha jina la hilo SUV, sisi wapenzi wa SUV tuongeze kwenye wishlist.
Umewahi majukumu ya kuoaAsante sana.
Hebu nisaidie na mimi namna ya kusevu nifike ulipo.
Mimi ni Hotelier, napokea 280000 kwa mwezi, hiyo ni take home baada a makato...nimepanga chumba cha umeme, kodi 40,000 kwa mwezi...Mke na Mtoto anayesoma st Kayumba darasa la nne.
Asante sana.
Hebu nisaidie na mimi namna ya kusevu nifike ulipo.
Mimi ni Hotelier, napokea 280000 kwa mwezi, hiyo ni take home baada a makato...nimepanga chumba cha umeme, kodi 40,000 kwa mwezi...Mke na Mtoto anayesoma st Kayumba darasa la nne.
View attachment 1892671
View attachment 1892672
Royal Caribbean cruise ship..
Meli za kitalii zinazosafiri nchi mbali mbali port of entry..
Unaweza kuapply kama unapenda kusafiri majini.. kutoka nchi m9ja kwenda nchi nyingine!
Zina hotels, malls- maduka, restaurants, n.k
Hii hapa chini ni website yao ya nafasi za kazi waazotoa unawe,a kuapply..
Royal Caribbean Cruises LTD. Job Application Wizard
rclctrac.com
Kuwa makanini na websites nyingine zinazofanana na hiyo juu, usije tapeliwa, interview zao wanafanya kwa skype na hautaombwa pesa yoyote kutoka kwao
Angalia Department unayofit , then tengeneza C.V/ RESUMe pamoja na cover letter nzuri...
Hahahaha Achana na cv zetu za kibongo izi za kuandika marital status na primary school!!
Nimechekaaa hapaa mkuuiSUV ni ya kununua kwa mtu kwa milioni 6 hivi pamoja na ufundi kidogo kuirekebisha, siyo miaka 3, ni zaidi ya sita sasa mkuu
Mdau alijua nina SUV ya m20. Nimejipimia ninayomudu ya m6Nimechekaaa hapaa mkuui
Ndio mkuu ila unaenjoy maisha yakoMdau alijua nina SUV ya m20. Nimejipimia ninayomudu ya m6
Ni kweli nina furaha sana. Huwa ninakaa ninaiangaliaaaa. Daah, ni luxurious car kwangu. Hata hapa nilipo sikuwahi kuwaza kuwa nitafika. Juhudi zinaendeleaNdio mkuu ila unaenjoy maisha yako
Hongera mkuu ila take home yako sio mbaya so unanafasi kubwa yakufanya makubwa ukiendelea na utamaduni huoNi kweli nina furaha sana. Huwa ninakaa ninaiangaliaaaa. Daah, ni luxurious car kwangu. Hata hapa nilipo sikuwahi kuwaza kuwa nitafika. Juhudi zinaendelea
Mwenzio take home 1.3m alienda kupanga chumba Cha giza, asa we na hiyo 280k itabidi ukaishi kwenye kichuguu kabisa kama kumbikumbiAsante sana.
Hebu nisaidie na mimi namna ya kusevu nifike ulipo.
Mimi ni Hotelier, napokea 280000 kwa mwezi, hiyo ni take home baada a makato...nimepanga chumba cha umeme, kodi 40,000 kwa mwezi...Mke na Mtoto anayesoma st Kayumba darasa la nne.
Wacha tu, Watu hatufanani.Mwenzio take home 1.3m alienda kupanga chumba Cha giza, asa we na hiyo 280k itabidi ukaishi kwenye kichuguu kabisa kama kumbikumbi
Umeenda vizuuuri ila ulipotupiga kamba mpka watu tukaanza kutilia mashaka ni hapo kwenye nyumba ya 30kWakuu salaam,
Nimeona kuna mada ya mambo ya kusevu nikaona nishee story yangu inaweza kuwa msaada kwa mtu fulani sehemu fulani..
Pambana usave hata laki kwa mwezi mkuu, hotelia hamkosagi vitips kwa wateja, 1.2m kwa mwaka. Ukiweka malengo ya miaka mi5 unatoka na 6m, mtaji wa kufanyia biashara ya maana. Siku hazigandiWacha tu, Watu hatufanani.
Kuna lengo nilitaka kulifikia na hata ingenigharimu kuishi nyumba ya kupanga ya 20k ningeishi Ili nitimize. Kiukweli, hayakuwa maisha mazuri ila lengo likatimiaumeenda vizuuuri ila ulipotupiga kamba mpka watu tukaanza kutilia mashaka ni hapo kwenye nyumba ya 30k
Ondoa hilo neno "SUV ya kifahari"SUV ni ya kununua kwa mtu kwa milioni 6 hivi pamoja na ufundi kidogo kuirekebisha, siyo miaka 3, ni zaidi ya sita sasa mkuu
Daah 😂😂😂😂 ungejua maisha niliyopitia ni hakika ninastahili kuiita ya kifahari, ni luxurious car kwangu. Hata hapa nilipo sikuwahi kuwaza kuwa nitafika. Juhudi zinaendeleaOndoa hilo neno "SUV ya kifahari"
Wakuu salaam,
Nimeona kuna mada ya mambo ya kusevu nikaona nishee story yangu inaweza kuwa msaada kwa mtu fulani sehemu fulani..
Nami nimejaribu kupiga mahesabu naona yanakataa. Maana hapo pia alikuwa anatumia pesa kwa chakula, matibabu, sadaka kanisani, kulipia nyumba ya kupanga. Mmh hayo mahesabu yake hayakai. Hata anayosema point 7, haiwezi kuingiza pesa yote hiyo maana ni weeekends tu. Labda kazi za usiku?Nyumba yako 30m, SUV approx. 20m, nyumba ya mama 7m, total =57m. Ndani ya miaka 3. Tanzania hii Hii?