Nilivyosave Milioni 10 kwa miezi 6 na kujenga nyumba mbili na kununua gari zuri

Nilivyosave Milioni 10 kwa miezi 6 na kujenga nyumba mbili na kununua gari zuri

Em shusha jina la hilo SUV, sisi wapenzi wa SUV tuongeze kwenye wishlist.
 
Asante sana.

Hebu nisaidie na mimi namna ya kusevu nifike ulipo.

Mimi ni Hotelier, napokea 280000 kwa mwezi, hiyo ni take home baada a makato...nimepanga chumba cha umeme, kodi 40,000 kwa mwezi...Mke na Mtoto anayesoma st Kayumba darasa la nne.
Umewahi majukumu ya kuoa
 
Asante sana.

Hebu nisaidie na mimi namna ya kusevu nifike ulipo.

Mimi ni Hotelier, napokea 280000 kwa mwezi, hiyo ni take home baada a makato...nimepanga chumba cha umeme, kodi 40,000 kwa mwezi...Mke na Mtoto anayesoma st Kayumba darasa la nne.
View attachment 1892671

View attachment 1892672

Royal Caribbean cruise ship..
Meli za kitalii zinazosafiri nchi mbali mbali port of entry..
Unaweza kuapply kama unapenda kusafiri majini.. kutoka nchi m9ja kwenda nchi nyingine!

Zina hotels, malls- maduka, restaurants, n.k

Hii hapa chini ni website yao ya nafasi za kazi waazotoa unawe,a kuapply..


Kuwa makanini na websites nyingine zinazofanana na hiyo juu, usije tapeliwa, interview zao wanafanya kwa skype na hautaombwa pesa yoyote kutoka kwao

Angalia Department unayofit , then tengeneza C.V/ RESUMe pamoja na cover letter nzuri...

Hahahaha Achana na cv zetu za kibongo izi za kuandika marital status na primary school!!
 
Asante sana.

Hebu nisaidie na mimi namna ya kusevu nifike ulipo.

Mimi ni Hotelier, napokea 280000 kwa mwezi, hiyo ni take home baada a makato...nimepanga chumba cha umeme, kodi 40,000 kwa mwezi...Mke na Mtoto anayesoma st Kayumba darasa la nne.
Mwenzio take home 1.3m alienda kupanga chumba Cha giza, asa we na hiyo 280k itabidi ukaishi kwenye kichuguu kabisa kama kumbikumbi
 
Nyumba yako 30m, SUV approx. 20m, nyumba ya mama 7m, total =57m. Ndani ya miaka 3. Tanzania hii Hii?
Nami nimejaribu kupiga mahesabu naona yanakataa. Maana hapo pia alikuwa anatumia pesa kwa chakula, matibabu, sadaka kanisani, kulipia nyumba ya kupanga. Mmh hayo mahesabu yake hayakai. Hata anayosema point 7, haiwezi kuingiza pesa yote hiyo maana ni weeekends tu. Labda kazi za usiku?
 
Back
Top Bottom