Nilivyotongozwa na msichana Baa

Mambo ya kiroho ni mapana sana, mambo ya kulala na kila demu kwa kuwa umempata kirahisi unavuna mikosi, nuksi, laana ambazo zinaepukika, vijana muwe makini kulala na kila mwanamke ni maagano mnabadliishana uchafu wa nafsi
 
Kama sifi mi sina neno. Magumu mengine nitajikaza
Mambo ya kiroho ni mapana sana, mambo ya kulala na kila demu kwa kuwa umempata kirahisi unavuna mikosi, nuksi, laana ambazo zinaepukika, vijana muwe makini kulala na kila mwanamke ni maagano mnabaslishana uchafu wa nafsi
 
Pole sana mkuu,
Huwa dili likiwa zuri sana hutakiwi kujiachia sana, fikiri madhara yake kabla ya kufanya maamuzi yoyote.

Kuna siku nilipita pale Mbezi Mwisho nikakutana na mdada mrembo sana, ilikuwa mida ya saa3 usiku, akaniita "handsome big mambo, mbona una haraka?" Nikampa πŸ‘ sikumjibu kitu nikatembea "mwendo haraka"
 

Ukiendelea hivi utakuwa mwandishi mzuri wa hadithi japo hii ipo kama ndoto vile japo sijasoma yote
1. Labda nikuulize tu; ni Baa gani hiyo ina zima mziki ili Waislam wapige adhana?
2. Kulikuwa na umuhimu gani wa kuhusisha kutongozwa kwako na Uislam?
3. Una maanisha mtu akiibiwa simu na mtu anayejiita John aseme ameibiwa na Mkatoliki?
 
1. Sioni sababu ya kuelezea ni sehemu gani kwa sababu hata uswahilini kama kuna shughuli yenye kibali , inapofika mida ya Maghrib huwa wanazima muziki.
2. Sehemu tukio lilipotokea asilimia 99.9 ni waislam, Mavazi ya Mwanamke na jina alilonitajia
3. Namba 2 itakuwa imeshajibu swali lako la 3
 
Kweli wanaume wameisha wamebakia wavulana yaani umetongozwa na msichana yaani mvulana huna kaba imekuja kumtangaza humu
 
majini
Mkuu pole sana. Niulize swali
  • huKo Buza ulifika siku hiyo?
  • je uliweza kurud kwenye hali yako ya kawaida tena? Ulifanyaje fanyaje na ilikuachukua muda gani?
Hilo lilikua jini live
siku hizi yanatongoza walevi na kuliwa tigo?hebu nipe huo mtaa wa majini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…