Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Hapa ndipo mnaponiachaga na maswali. Hivi wanaume wa jf wote hakuna anaepiga pisi mbovu?Aisee ilikuwa ni pisi ya maana tena kiwango cha SGR ya π¨π³ sio ya πΉπΏ.
πππ sa uongo wake nini??We jamaa ni muongo kinoma
Umeshutukia mchezo niniSaa 5 asubuhi taa imezimwa chumba kikawa giza, aah hii chai sio poa mzee
Tumegoma tuletee maandazi ya iriki πUnanisagia Kunguni na Wewe? π π π π
Mapema sanaUmeshutukia mchezo nini
Atakuogopa ujue mpaka achungulie hauko online ndiyo atupieMapema sana
Ye aweke tu, mradi asizidishe sana tangawizi tusije kupaliwaAtakuogopa ujue mpaka achungulie hauko online ndiyo atupie