shin gun wook
JF-Expert Member
- Sep 26, 2017
- 995
- 1,514
- Thread starter
- #21
Kweli Mkuu .nimeshamsameheSiasa zisitutenge msamehe bure maisha yaendelee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli Mkuu .nimeshamsameheSiasa zisitutenge msamehe bure maisha yaendelee
Umesema cha muhimu sana.ni kweli kabsa mkuuUmefanya jambo la kiungwana,ubarikiwe.
Jirani siku zote ni zaid ya ndugu lkn sisi binaadam baadhi tumejawa na selfish.
Nashauri msamehe tu,Mungu anakulipa hapa na ahera,hata kama yeye hajakushukuru.
Endelea kua mwema Kwa wote binadam,wema hauozi.
Nkweli kabisa Mkuu.nipo nae sasa na tunacheka kama mwanzo.nimefurahi sana.maaana alikua swaiba wangu sanaTukio hilo limetokea kwasababu maalum ya kuondoa uadui baina yenu. Mwenyezi MUNGU ni mwema, kwenye kila tukio ipo sababu. Wewe uwe msamehevu na mnyenyekevu baadaye yeye ndio atajiona mjinga na ujirani mwema utarejea. Usiwe na kiburi baada ya yeye kujirudi
Mku kumweka mtu rohoni ni umaskini mkuAsante Mkuu.ntafanya hivyo
Kweli kabisa kaka.tupo pamoja sasa tunayajengapeaneni mikono kama wanaume na yaishe maana majirani ni ndugu sema hilo hamkulijua kabla
Ni tabia ya ajabu sana hiyo Mkuu.ni vile hatujui ya kesho.nikipatwa na matatizo wa kunisaidia ni nan kama sio jirani yangu.inakera sanahongera sana kwa wema wako yani kuna mijitu cjui ikoje Nina jirani yangu nae anavitabia vya kiselfish
Hiyo ni safi sana. Bila shaka ametambua kuwa ulivokataa mabango yasibandikwe kwako si kwamba ulikuwa una chuki naye bali ulikuwa huyapendi hayo mabangoNkweli kabisa Mkuu.nipo nae sasa na tunacheka kama mwanzo.nimefurahi sana.maaana alikua swaiba wangu sana
Asantee dadaa .duh yalikua yamoto moto kweliMkuu pole kwa kuungua aisee...!!
Nimemsamehe Mkuu.tuko sawa kama mwanzo.nimefurahi sana kupatana na jirani yanguHuyu jamaa msamehe maisha yaendelee kiongozi
Hahaha kadondosha mbuzi Mkuu.tunakula pamoja .na kushushia mambo yetu Yale.Mungu ni mtoto katoka hospital .kavunjika mkono mmoja ila yuko poaalete maziwa fresh lita 10
Asante Mkuu.ntafanya hivyo
Kumbe yote wakorofi ila mna utu , hongera kwa kua binadamu mwema, ila msameheane tuu.Jana jioni nikiwa nimetoka kwenye shughuli zangu,ghafla akanikimbilia msichana wa Kazi Wa jirani yangu kuomba msaada .Alikuja mbio analia mtoto katumbukia kwenye chamber ya kinyesi.Watoto wakati wanacheza sijui ikawaje mfuniko huenda waliosogeza au palikua wazi.Nilipo fika kuchungulia na kumuona mtoto na maji hayakua mengi nikaruka mpaka chini cha kufanya ilikua nimnyanyue mtoto wakati tunatafuta msaada wa kupata cha kupandia juu.kwa kua maji hayakua mengi nikafanikiwa kumnyanyua nikamuhimiza msichana wa Kazi atafute kamba haraka au mbao ndefu aishushe .wajinga wale sijui wanakulaga moto au mabomu.niliungua kwa kinyesi.nikafanikiwa na kumpa huduma ya kwanza nakumpeleka hospitali.
Sasa baba wa mtoto alikata mawasiliano na Mimi nilipomkataza asibandike mabango yake ya kampeni kwangu kipindi cha uchaguzi .akasema kuanzia siku hiyo nitakua adui yake.baada ya kumpeleka mtoto nadhani alipigiwa simu .nikakutana njiani akanipita bila salamu.
Sasa badae amekuja kujua ndio niliyomuokoa mwanae kaja mbio analia.nimeondoka bila kumsemesha kwanza .nifanye nini ili kumpa adabu?
Nimemsamehe Mkuu.Leo kwake yamempata kesho yanaweza nipata zaidi ya take.Mwambie aendelee kukuhesabu kama adui yake tu maana hukumuokoa yeye ila ulimuokoa mtoto kwa wema wako na ubinadamu Mungu aliekujalia.
Nimemsamehe Mkuu.Leo kwake yamempata kesho yanaweza nipata zaidi ya take.Mwambie aendelee kukuhesabu kama adui yake tu maana hukumuokoa yeye ila ulimuokoa mtoto kwa wema wako na ubinadamu Mungu aliekujalia.
Kumbe yote wakorofi ila mna utu , hongera kwa kua binadamu mwema, ila msameheane tuu.
Asante sana dadaa.nimefanya hivyokilio chake ni majuto msamehe utabaki na Amani rohoni ...ila Mungu azidi kukubaliki wewe na uzao wako.
Mkuu jiandae kua kichaa..Asante Mkuu.ntafanya hivyo