Nilivyozama kwenye chember ya choo kuokoa mtoto wa adui yangu

Umefanya jambo la kiungwana,ubarikiwe.
Jirani siku zote ni zaid ya ndugu lkn sisi binaadam baadhi tumejawa na selfish.
Nashauri msamehe tu,Mungu anakulipa hapa na ahera,hata kama yeye hajakushukuru.

Endelea kua mwema Kwa wote binadam,wema hauozi.
Umesema cha muhimu sana.ni kweli kabsa mkuu
 
Nkweli kabisa Mkuu.nipo nae sasa na tunacheka kama mwanzo.nimefurahi sana.maaana alikua swaiba wangu sana
 
hongera sana kwa wema wako yani kuna mijitu cjui ikoje Nina jirani yangu nae anavitabia vya kiselfish
Ni tabia ya ajabu sana hiyo Mkuu.ni vile hatujui ya kesho.nikipatwa na matatizo wa kunisaidia ni nan kama sio jirani yangu.inakera sana
 
Asante Mkuu.ntafanya hivyo

Kumbe yote wakorofi ila mna utu , hongera kwa kua binadamu mwema, ila msameheane tuu.
 
kilio chake ni majuto msamehe utabaki na Amani rohoni ...ila Mungu azidi kukubaliki wewe na uzao wako.
 
Mwambie aendelee kukuhesabu kama adui yake tu maana hukumuokoa yeye ila ulimuokoa mtoto kwa wema wako na ubinadamu Mungu aliekujalia.
Nimemsamehe Mkuu.Leo kwake yamempata kesho yanaweza nipata zaidi ya take.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…