Niliwaambia Pep Gudiola anamrahisihia Erteta kuchukua ubingwa haya sasa amewaondoa kikosoni Jao cancelo na bernado Silva

Niliwaambia Pep Gudiola anamrahisihia Erteta kuchukua ubingwa haya sasa amewaondoa kikosoni Jao cancelo na bernado Silva

Guardiola aliletwa Manchester city kwasababu ya UEFA champions league mpaka sasa hajabeba anagangaika tu mwarabu anamlia timing muda si mrefu anamla kichwa kwasababu alikuwa anamtimizia kila kitu kwa wakati.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app

Mfano wewe ndie ungekuwa mwarabu wa man city.. ungemtimua guardiola ili umuajiri nani ?

Unaona Kocha gani ni bora kuzidi guardiola anaefaa kufundisha man city
 
Wakuu huyu muacheni tu anateseka sana na Arsenal.
uwe hodari ni mara ngapi tukwambie gunners bingwa msimu huu husikii..
 
Hivi ubingwa unachukuliwa kwa pointi sita za home and away za Man City.?
The Gooners kama watachukua ubingwa wamestahili.Ndio timu inayocheza mpira wa malengo na team work katika Premier League.
 
Back
Top Bottom