vibertz
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 2,474
- 4,726
Kagera na Yanga wote walikuwa hawana match fitnessKwani Kagera walikuwa na match fitness?mbona mlishindwa kuwafunga na mliponea kwenye mbeleko ya refa aliyekataa goli lao halali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kagera na Yanga wote walikuwa hawana match fitnessKwani Kagera walikuwa na match fitness?mbona mlishindwa kuwafunga na mliponea kwenye mbeleko ya refa aliyekataa goli lao halali
Kwani gap limepungua au limeongezeka? Au limebaki vile vile? Unaposema tunakuja huko juu maanake mmepunguza gap sasa mmepunguza point ngapi?Huu utetezi wa match fitness umekuja baada ya Azam kuokolewa na Kayoko
Jishikilieni vizuri tunakuja huko juu kwa kishindo kikuu
Kwani Yanga hakucheza Mapinduzi Cup?Kagera na Yanga wote walikuwa hawana match fitness
Acha uongo,Yanga kacheza Mapinduzi Cup wakati Kagera hajachezaKagera na Yanga wote walikuwa hawana match fitness
Daaaa kazi sanaa ipo mbichiiiR I P Thadei Ole Mushi, mtesi wako hana amani kabisa