Kila mwenye akili timamu ambae alitazama ule mpira anajua sababu ya yale matokeo ni nini, sababu sio uwanja hata kidogo msimu uliopita tuu Simba walishinda goli 4 dhidi ya geita gold kwenye uwanja huo huo, mpira unachezwa uwanjani na Kila mmoja anatazama kinacho endelea