Niliwahi kuhoji utimilifu wa PhD ya Mwigulu Nchemba, Dotto Biteko na Jafo. Hivi hili la wachina kuwa machinga linahitaji tume?

Nasubiri Tamko rasmi kutoka kwa Luhaga mpina kuhusu swala hili.

Tangia sasa sio kila PhD ni ya kweli zingine kirefu chake ni Pengine hana Degree(PhD)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…