Niliwahi kuidukua simu ya Ex wangu kwa kumzawadia simu niliyoidukua bila yeye kujua. Nilichokitafuta nilikipata na siwezi tena kurudia

Kuna jamaa yangu ye alikua na dem wake ambae alikua tayari kashamzalisha na alikua na mpango wa kumuoa. Akamleta dem kwao ili azoeane na mawifi na wakwe zake kabisa katika kuelekea ndoa. Jamaa ni mtu wa kusafiri safiri, baada ya kumleta dem kwao akawa amesafiri tena. Siku amerudi(kwa alivyohadithia) alijikuta kaona achukue tu simu ya dem akague kague(alikuaga hajawai kabisa kufanya hivyo) alichokutana nacho kilivunja mipango yote. Jamaa anakwambia dem namna anavyochat na wanaume wengine ni kama yupo singo, wakati yupo kwenye process za kuelewa. Jamaa alishindwa kabisa kuelewa
 
“Mtambo”
 
Mapenzi ni kitu kingine kabisa, haha.
 
Acha kabisa mkuu.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hahahaha dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…