Niliwahi kuidukua simu ya Ex wangu kwa kumzawadia simu niliyoidukua bila yeye kujua. Nilichokitafuta nilikipata na siwezi tena kurudia

Acha kuwa mariooo, huoni aibu kujisifia kulelewaa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Silelewi namaisha yangu mazuri tu, ambayo vijana wengi wanatamani kuyaishi, lakini Mzee alininyang'anya demu wangu, nilikubali coz nilikuwa mlalahoi enzi hizo nabado maisha yangu sio mazuri kivile, lakini pia sio mabaya nikiangalia nilipotoka.

Kuhusu Dem nilimpenda na nilijitoa Kwa uwezo wangu wote,ndio maana baada yeye kunipiga chini lakini ananikubali mpaka kesho na ntaendelea kumtafuna tu.

Haina namna.
 
Kufikirikaaaaaa zaidii uhalisia...tembeza bahasha kgaki tafuta kazi.....
 
Mnawatoaga wapi mademu wa hivyo?😂
Au ndio Vile Ndege wanaofanana
 
Nilitry hii kitu juzi kati aaahhh kmmmk kama una moyo mdogo unaweza jikuta unafukiwa chini au upo ICU au pengine upo jela unasubiri hukumu tu....

Vitu nilivyoviona vilizidi kuniongezea umakini na kuamini ya kua hakuna mwanamke mwaminifu karne hii, hata kama atakaza sana kuna muhuni mmoja tu ata muotea na atamkunja kila styles.
 
Ulitumia app gani?
 
Sasa si ulipata ulichokitaka ila ina uma sana haswa kwa wewe uliewekeza hapo😅
 
Hahahahaha
 
Mtu hujamuoa unamdukua wa nin? Hata kumfumania mtu unatakiwa uwe na cheti cha ndoa kama hujamuoa sio wako
Moja ya ukatili nilishuhudia ni mwamba m'moja tukiwa chuo, alienda kumfumania demu wake. Jamaa kaenda kagonga mlango mwenye chumba akafungua.

Jamaa akamwambia amwambie demu atoke nje. Jamaa akawa anashangaa nani huyu ananiamrisha kwangu na demu wangu.

Demu alishajua fumanizi limekamilika na jamaa yake ameshamkamata bila ubishi na ushahidi wa wazi mara kadhaa. Na inaonekana demu alishaona kama vipi waachane ila mwamba hakubali kuachia anamtaka sana demu.

Demu akasogea mlangoni ambapo jamaa alikuwa kasimama akafungua mlango. Neno la kwanza akamwambia mshikaji "Unataka nini"?

Jamaa akapangawa, mori ikampanda akauliza,"we malaya unaniambia mimi nataka nini". [emoji23][emoji23][emoji23] Macho yashakuwa mekundu kwa hasira na mauchungu.

Demu akamwambia "ndio nakuuliza unataka nini unaleta fujo kwenye nyumba za watu"

Wakawashiana moto demu akamwambia jamaa live sikutaki katafute mwanamke mwingine mimi wangu huyu hapa.

Mwamba akawa amefura balaa hana la kusema hasira zimemjaa kifuani, yaani hadi huruma. Yule mshikaji mwenye sehemu alipokuwapo demu amesimama tu kimya maana akashajua yeye ana advantage kubwa na demu amemchagua. Demu akawa nae kapandisha akamwambia jamaa ondoka, jamaa anamwambia ndio naondoka malaya wewe utaishia kut*mbw* na kuachwa na kubadilisha wanaume.

Demu huku anatoa kicheko cha kejeli akamwambia ndio me ni mwanamke kut*mbw* ni kawaida nenda katafute na wewe wa kut*mb*[emoji23][emoji23][emoji23].

Akamshika jamaa akaanza kumkiss mbele ya mwamba, halafu anamwambia haya ondoka bwana tupishe sisi tukat*mban*.

Aisee ikabidi tumsihi jamaa aondoke maana kuendelea kukaa pale angefanya mambo ya ajabu.

Jamaa alivurugwa akawa kama mgonjwa wa maralia iliyopanda kichwani. Alikuja kukubali matokeo baadae sana.

Ila nina uhakika ile kitu ilimuachia kovu kubwa sana moyoni na atakuwa anamuombea kila balaa yule demu wake baada ya pale.
 
Software ipi hiyo mkuu maana kuna manzi 1 nataka nimbwage kwa kumtegea mtambo? Ni kifaa lakini nataka nikiache tu
Sasa kama mtu ameshakupa ishara kuwa ana mambo meusi why unataka kuchunguza na unajua kuwa outcome itakuwa ni kumjua au kuwajua anao ruka nao. Why usimwambie tu kuwa mwenendo wake haukufurashi unataka amani achague kubadilika au umpe uhuru wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…