Niliwahi kuidukua simu ya Ex wangu kwa kumzawadia simu niliyoidukua bila yeye kujua. Nilichokitafuta nilikipata na siwezi tena kurudia

Niliwahi kuidukua simu ya Ex wangu kwa kumzawadia simu niliyoidukua bila yeye kujua. Nilichokitafuta nilikipata na siwezi tena kurudia

Daa rafiki yangu niliwahi kufanya nae kazi. Yeye pia alifanya jambo hilo kwa mpenzi wake aliyehamishiwa kikazi dodoma yeye akiwa Dsm. Lakini ikifika wikiend wanakutana hadi pale alipoona dada kaanza kubadilika sasa akafanya huo mchezo wa kudukua simu. Akagundua dada ana mtu mwingine tena wanashiriki kabisa uzinzi kula na kupakua. Kumbuka walikuwa wanaenda steji ya ndoa. Dada akapata mimba ya mchepuko wake wa dodoma na wakakubaliana na mchepuko mimba apewe rafiki yangu. Basi dada alipokuwa akija dar jamaa anasema kaenda kikazi pemba. Jamaa si anasoma na kusikia na kuona picha ya mipango yako, dada amekuja dar mara kadhaa jamaaa anamkwepa tu dada akaamua kuitoa mimba baada ya kuona itakuwa kubwa. Mambo yote hayo jamaa anayadukua tu yuko kimya tu. Sasa dada katoa mimba alafu analalamika kwa ndugu wa rafiki yangu Kuwa jamaa hamjali kwa hiyo ndugu wakawa wanamsema rafiki yangu maana dada anaaminika sana maana ni mpole uwezi amini. Kwa kuwa jamaaa alikuwa anamkwepa dada kila uchao ndugu wakaamua kuitisha kikao ili wajue jamaa anatatizo gani . Dada akaja siku ya kikao na alikuwa anajuwa kabisa atashinda kesi maana ndugu hasa mama wa familia alikuwa anampenda sana. Sasa saa chache kabla ya kikao dada alikuwa yuko jikoni na mama mkwe wake wanaandaa chakula na mambo mengine kwa ajili ya kikao jamaa akachukua simu yake akampa mdogo wake wa kike ampe yule dada aisome kabla kikao hakijaanza yule dada alisoma meseji. Baada ya hapo alimka na kuondoka hajawahi kuonekana tena.
 
Daa rafiki yangu niliwahi kufanya nae kazi. Yeye pia alifanya jambo hilo kwa mpenzi wake aliyehamishiwa kikazi dodoma yeye akiwa Dsm. Lakini ikifika wikiend wanakutana hadi pale alipoona dada kaanza kubadilika sasa akafanya huo mchezo wa kudukua simu. Akagundua dada ana mtu mwingine tena wanashiriki kabisa uzinzi kula na kupakua. Kumbuka walikuwa wanaenda steji ya ndoa. Dada akapata mimba ya mchepuko wake wa dodoma na wakakubaliana na mchepuko mimba apewe rafiki yangu. Basi dada alipokuwa akija dar jamaa anasema kaenda kikazi pemba. Jamaa si anasoma na kusikia na kuona picha ya mipango yako, dada amekuja dar mara kadhaa jamaaa anamkwepa tu dada akaamua kuitoa mimba baada ya kuona itakuwa kubwa. Mambo yote hayo jamaa anayadukua tu yuko kimya tu. Sasa dada katoa mimba alafu analalamika kwa ndugu wa rafiki yangu Kuwa jamaa hamjali kwa hiyo ndugu wakawa wanamsema rafiki yangu maana dada anaaminika sana maana ni mpole uwezi amini. Kwa kuwa jamaaa alikuwa anamkwepa dada kila uchao ndugu wakaamua kuitisha kikao ili wajue jamaa anatatizo gani . Dada akaja siku ya kikao na alikuwa anajuwa kabisa atashinda kesi maana ndugu hasa mama wa familia alikuwa anampenda sana. Sasa saa chache kabla ya kikao dada alikuwa yuko jikoni na mama mkwe wake wanaandaa chakula na mambo mengine kwa ajili ya kikao jamaa akachukua simu yake akampa mdogo wake wa kike ampe yule dada aisome kabla kikao hakijaanza yule dada alisoma meseji. Baada ya hapo alimka na kuondoka hajawahi kuonekana tena.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]duhhhhhhh

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Daa rafiki yangu niliwahi kufanya nae kazi. Yeye pia alifanya jambo hilo kwa mpenzi wake aliyehamishiwa kikazi dodoma yeye akiwa Dsm. Lakini ikifika wikiend wanakutana hadi pale alipoona dada kaanza kubadilika sasa akafanya huo mchezo wa kudukua simu. Akagundua dada ana mtu mwingine tena wanashiriki kabisa uzinzi kula na kupakua. Kumbuka walikuwa wanaenda steji ya ndoa. Dada akapata mimba ya mchepuko wake wa dodoma na wakakubaliana na mchepuko mimba apewe rafiki yangu. Basi dada alipokuwa akija dar jamaa anasema kaenda kikazi pemba. Jamaa si anasoma na kusikia na kuona picha ya mipango yako, dada amekuja dar mara kadhaa jamaaa anamkwepa tu dada akaamua kuitoa mimba baada ya kuona itakuwa kubwa. Mambo yote hayo jamaa anayadukua tu yuko kimya tu. Sasa dada katoa mimba alafu analalamika kwa ndugu wa rafiki yangu Kuwa jamaa hamjali kwa hiyo ndugu wakawa wanamsema rafiki yangu maana dada anaaminika sana maana ni mpole uwezi amini. Kwa kuwa jamaaa alikuwa anamkwepa dada kila uchao ndugu wakaamua kuitisha kikao ili wajue jamaa anatatizo gani . Dada akaja siku ya kikao na alikuwa anajuwa kabisa atashinda kesi maana ndugu hasa mama wa familia alikuwa anampenda sana. Sasa saa chache kabla ya kikao dada alikuwa yuko jikoni na mama mkwe wake wanaandaa chakula na mambo mengine kwa ajili ya kikao jamaa akachukua simu yake akampa mdogo wake wa kike ampe yule dada aisome kabla kikao hakijaanza yule dada alisoma meseji. Baada ya hapo alimka na kuondoka hajawahi kuonekana tena.
Sms itakuwa ilkuwa kubwa sana
 
Hii michezo ilinifanya kumkamata demu akiingiza njemba geto kwangu kwa kuzuga kuwa dadaake anakuja kumtembelea na atapenda afikie geto kwake. Tulikuwa tunaishi pamoja kiunyumba kama kawaida ya mchezo wa wanachuo ili kujihakikishia all time supply ya utelezi.

Nikaona nimpe chance alale na ndugu yake, kufuatilia convo kwenye tambo kumbe kuna njemba ilikuwa inaandaliwa shoo! Nlichokifanya nikawahi eneo la tukio nikabana chocho nikishuhudia chezo lote hadi njemba inaingizwa geto. Baada ya njemba kuingia tu nkavuta pumzi nkaenda kushika kitasa mara demu anafungua haamini kama ni mimi ndio nmemfumania.

Jamaa alikuwa ndo anaandaliwa maji ya kuoga chumba knanukia maua rose balaa, sitakaa nisahau ile siku. Bila demu kukimbia leo ningekuwa selo nanyea debe.
....una haki ya u-Legend ulionao mkuu.!
 
Uzi huu nimeuandaa baada ya kusoma post flani inatrend jukwaani muda huu kuna dada yetu anahisi mme wake anatumia ushirikina kujua mawasiliano yake ya watu anaoongea nao, Huenda ni kweli lakini kisa hiki kimenikumbusha mbali sana kwamba labda mme wake katumia mbinu niliyowahi kuitumia zamani kwa ex wangu kwa kumnunulia simu mpya ambayo niliidukua kisha kumzawadia. Enzi hizo ilikuwa rahisi sana kudukua simu ila kwa siku hizi sijajua, sijafatilia na wala sina hamu.

Ilikuwa ni miaka ya 2015 hivi, nilikuwa na girlfriend wangu ambae niliingia tamaa ya kutaka kumpeleleza zaidi, alikuwa ni kisu haswa.

mimi ni fundi seremala lakini mambo ya teknolojia napendaga sana kuyafatilia tangu zamani hivyo nilishawishika kumdukua simu yake.

Nilijaribu kudukua smartphone yake lakini ilikuwa na ulinzi imara kuzidi uwezo nilionao so ikabidi nizame mfukoni nikaenda kumnunulia simu used kali kimtindo ambayo nilishaifanyia uchunguzi naweza kuidukua.

Niliidukua kirahisi wala haikunipa shida, step ya kwanza ilibidi nipate access ya mafaili yote ya simu hata yale ya ulinzi ambayo hayaonekani, hapa nilifanya zoezi linaitwa "rooting" ili kudhoofisha ulinzi wa simu ifanye nachotaka. Baada ya hapo nikaweka sasa mtambo wangu ambao ni app, enzi hizo ulikuwa unaitwa android lost nikaongezea na vikorombwezo vya ziada.

Huo mtambo ni kwamba ukiuweka kwenye simu, unaweza kutumia laptop ama simu nyingine kuona meseji zote za simu uliyoidukua, call logs zote hata zikifutwa, unaweza kufungulia maiki mda wowote kunasa sauti, simu inaweza kupiga picha mda wowote uone mazingira, kucheki chats za whatsapp, n.k.

Nilijiona mjanja sana ila kilichotokea ni maumivu tu.

Kwa vile dem alikuwa ni pisi kali, zile meseji za hi sweety, hi mrembo, n.k. zilikuwa hazikauki hata iwe ni mtu waliezoeana kawaida tu, hizi mesej zilikuwa zinanifanya nijawe na wivu na hasira sana.

Wapo jamaa walikuwa ni ving'ang'anizi balaa, wanapiga saundi hadi nakosa amani, si mnajua tena huu ulimwengu wenye simu, hata asipotoa wataipata kwa marafiki. Nikwambie tu ya kwamba mwanamke kutongozwa ni jambo la kawaida sana.

Wivu wangu ulizaa hasira za kutaka kumlinda zaidi, hii ilisababisha kila muda niwe nafatilia sehemu anazokwenda kimya kimya akitoka nje ya chuo, mtambo ulikuwa na uwezo kuonyesha alipo na ruti zake na mda aliokaa hio sehemu, hata hivyo alikuwa ni mtu wa kukaa sana chuoni ila akitoka kwenda sehemu ambayo si gheto kwangu niliingia wivu wa kwenda kupachunguza.

Kelele na ugomvi vilianza pindi nilipooana kuna chats za ex wake ama kuna sehemu kaenda ambayo nina mashaka nayo, sikumwambia nimedukua simu yake ila nilikuwa namwambia kuna watu wameniambia, Nilikuwa na wivu uliopitiliza.

Siku niliyochapiwa !!

Ni siku ambayo walimaliza mitihani yao ya muhula, kuna jamaa nahisi ni class mate wake walienda nae geto kwake, siku hio hata simu yake ilikuwa haipatikani, sasa kesho yake asubuhi ndio kawasha simu, kwenye mtambo naona jamaa anamtumia mesej, vp umerudi salama chuoni, leo uje tena, n.k. jamaa akahamia kuanza kuzungumzia yaliyotokea jana yake, akaanza kuzungumzia mnyanduano wa jana yake, anaomba irudiwe sometimes kwa kiingereza mfano "babe am horny i need a few more pumps to fix the situation", wajaribu style mpya, ex nae anamtania alipiga kimoja basi nae jamaa anajitetea mitihani ilimchosha ana nguvu mpya kumpiga vitatu, n.k. iliniuma sana jamani, kidume hadi machozi yalikuwa yananilenga lenga. Mda wote huo moja kwa moja mawazo yananijia kwamba jamaa kanizidi ufundi na huenda ana mkuyenge mkubwa kunizidi, aish! Dah! Sio poa jamani nyie sikieni tu yani niliumia sana yani.

Huwezi amini nilijifanya sijui chochote, nikampigia simu ex aje, ex alivyo mshenzi ndio kwanza aliniletea zawadi ya t-shirt na akawa anazuga jana simu yake ilikuwa na matatizo flani. (nimeyasahau ).

Nikamkalisha kitako na kumwambia jana umenichiti na nikamwambia nimepata taarifa kutoka kwa mtu wa hapo chuoni kwao kanipa A - Z wa usaliti ulionifanyia, nilimtajia hadi jina la huyo jamaa waliekuwa nae jana, alipiga magoti na kulia sana na kuomba msamaha akaanza visingizio sijui shetani kampitia machozi kama yote analia, nadhani wengi mnajua kipaji walichonacho wanawake kwenye kulia, Kwa upande wangu nilikuwa nimeumia sana kwamba kuna jamaa kamcharaza mkwaju, Very painful na hasira kwa juu.

Nilimtolea uvivu kuna vinguo nguo na kibegi alikuwa nacho hapo gheto vya siku akija kwangu nikavifungasha ovyo ovyo nikamrushia hicho kibegi aondoke mara moja, alikuwa mbishi nami hasira zimenipanda nilimtandika vibao vya nguvu sana kama vitatu hivi timua nje kabisa nikafunga mlango, uzuri hio siku nilikuwa peke yangu hakuna wapangaji wengine.

Nilikuwa nafatilia mesej zake kwa wiki hivi huku nikiwa na maumivu, alikuwa anapiga sana simu ikabidi namba yake niliblok asinipigie, hivyo alikuwa anatumia simu za rafiki zake ila nikigundua sauti yake nakata, kwenye mtambo naona alikuwa anapitia kipindi kigumu alikuwa anachat na marafiki zake juu ya break up, kuomba ushauri, wanamliwaza, n k. kiukweli niliona kajutia nami nilihisi pengine kweli kashetani kalimpitia ila maumivu niliyokuwa nayapata kila nikiwaza alivyonisaliti ni kama kisu kikali kimegonga mfupa, yule jamaa aliemtafuna jana nilikuwa naona kafura analalamika dem hajibu text wala kupokea simu bila kujua msala uliotokea huku, mda ulienda niliacha hata kumfatilia nikafuta huo mtambo maana ulikuwa unanifanya nimuwaze badala ya ku move on.

that was the end.
Movies hizi duùuu.....basi sawa ...andaa script uza Bongo movies
 
Uwe na roho ngumu kwelikweli Mimi nlishawahi kufanya huo upuuzi ila nafkir ni kipindi kile Cha foolish age. Nlkuwa na wasap mbili kwenye cm yangu Moja yake Moja yangu bila yeye kujua na before alkuwa anatumia wasp so nlipoirudisha ni kama wale jamaa walikuwa wanachat nae walifurahi kuona namba imerudi online [emoji1787] nilikutana na advertise Moja kwnza ikanikata wenge nkataman kuifuta Ile wasap sijakaa sawa nkakutana na nyingine na nyinginezo nkasema huu ni ujinga nkafuta Ile namba wasap alaf nkam face nkamchana yote akakubali akakiri akaomba msamaha nkaendelea kula mzigo mana sijamuoa hanipi pressure
 
Hayo mambo mabaya kabisa...

Kuna maneno utatamani yasiwepo tena kwenye dictionary.
Kuna style hutapenda uzisikie tena.
Kuna sehemu hutataka kuziona wala kupita hapo. ..


Kutokana na jinsi yalivyotumika na mwizi wako [emoji23][emoji23]
 
Jamaa
Anapambamia nini Sasa wakati anapigwa na matukio kibao ?

Demu baada ya lile tukio akaomba waachane,,

Jamaa bado akajikaza amuache demu,,
Siku demu anakuja na kirikuu kusomba vyombo vyake jamaa kazuia tena kirikuu isiondoke...

Jamaa dhaifu sn.
Jamaa fala sana, na hapo demu ndo anasimamia shoo kwa uzaifu wa jamaa
 
Daa rafiki yangu niliwahi kufanya nae kazi. Yeye pia alifanya jambo hilo kwa mpenzi wake aliyehamishiwa kikazi dodoma yeye akiwa Dsm. Lakini ikifika wikiend wanakutana hadi pale alipoona dada kaanza kubadilika sasa akafanya huo mchezo wa kudukua simu. Akagundua dada ana mtu mwingine tena wanashiriki kabisa uzinzi kula na kupakua. Kumbuka walikuwa wanaenda steji ya ndoa. Dada akapata mimba ya mchepuko wake wa dodoma na wakakubaliana na mchepuko mimba apewe rafiki yangu. Basi dada alipokuwa akija dar jamaa anasema kaenda kikazi pemba. Jamaa si anasoma na kusikia na kuona picha ya mipango yako, dada amekuja dar mara kadhaa jamaaa anamkwepa tu dada akaamua kuitoa mimba baada ya kuona itakuwa kubwa. Mambo yote hayo jamaa anayadukua tu yuko kimya tu. Sasa dada katoa mimba alafu analalamika kwa ndugu wa rafiki yangu Kuwa jamaa hamjali kwa hiyo ndugu wakawa wanamsema rafiki yangu maana dada anaaminika sana maana ni mpole uwezi amini. Kwa kuwa jamaaa alikuwa anamkwepa dada kila uchao ndugu wakaamua kuitisha kikao ili wajue jamaa anatatizo gani . Dada akaja siku ya kikao na alikuwa anajuwa kabisa atashinda kesi maana ndugu hasa mama wa familia alikuwa anampenda sana. Sasa saa chache kabla ya kikao dada alikuwa yuko jikoni na mama mkwe wake wanaandaa chakula na mambo mengine kwa ajili ya kikao jamaa akachukua simu yake akampa mdogo wake wa kike ampe yule dada aisome kabla kikao hakijaanza yule dada alisoma meseji. Baada ya hapo alimka na kuondoka hajawahi kuonekana tena.
Yani mkuu hata kwao hawajui yupo wapi mpaka leo??
 
Uzi huu nimeuandaa baada ya kusoma post flani inatrend jukwaani muda huu kuna dada yetu anahisi mme wake anatumia ushirikina kujua mawasiliano yake ya watu anaoongea nao, Huenda ni kweli lakini kisa hiki kimenikumbusha mbali sana kwamba labda mme wake katumia mbinu niliyowahi kuitumia zamani kwa ex wangu kwa kumnunulia simu mpya ambayo niliidukua kisha kumzawadia. Enzi hizo ilikuwa rahisi sana kudukua simu ila kwa siku hizi sijajua, sijafatilia na wala sina hamu.

Ilikuwa ni miaka ya 2015 hivi, nilikuwa na girlfriend wangu ambae niliingia tamaa ya kutaka kumpeleleza zaidi, alikuwa ni kisu haswa.

mimi ni fundi seremala lakini mambo ya teknolojia napendaga sana kuyafatilia tangu zamani hivyo nilishawishika kumdukua simu yake.

Nilijaribu kudukua smartphone yake lakini ilikuwa na ulinzi imara kuzidi uwezo nilionao so ikabidi nizame mfukoni nikaenda kumnunulia simu used kali kimtindo ambayo nilishaifanyia uchunguzi naweza kuidukua.

Niliidukua kirahisi wala haikunipa shida, step ya kwanza ilibidi nipate access ya mafaili yote ya simu hata yale ya ulinzi ambayo hayaonekani, hapa nilifanya zoezi linaitwa "rooting" ili kudhoofisha ulinzi wa simu ifanye nachotaka. Baada ya hapo nikaweka sasa mtambo wangu ambao ni app, enzi hizo ulikuwa unaitwa android lost nikaongezea na vikorombwezo vya ziada.

Huo mtambo ni kwamba ukiuweka kwenye simu, unaweza kutumia laptop ama simu nyingine kuona meseji zote za simu uliyoidukua, call logs zote hata zikifutwa, unaweza kufungulia maiki mda wowote kunasa sauti, simu inaweza kupiga picha mda wowote uone mazingira, kucheki chats za whatsapp, n.k.

Nilijiona mjanja sana ila kilichotokea ni maumivu tu.

Kwa vile dem alikuwa ni pisi kali, zile meseji za hi sweety, hi mrembo, n.k. zilikuwa hazikauki hata iwe ni mtu waliezoeana kawaida tu, hizi mesej zilikuwa zinanifanya nijawe na wivu na hasira sana.

Wapo jamaa walikuwa ni ving'ang'anizi balaa, wanapiga saundi hadi nakosa amani, si mnajua tena huu ulimwengu wenye simu, hata asipotoa wataipata kwa marafiki. Nikwambie tu ya kwamba mwanamke kutongozwa ni jambo la kawaida sana.

Wivu wangu ulizaa hasira za kutaka kumlinda zaidi, hii ilisababisha kila muda niwe nafatilia sehemu anazokwenda kimya kimya akitoka nje ya chuo, mtambo ulikuwa na uwezo kuonyesha alipo na ruti zake na mda aliokaa hio sehemu, hata hivyo alikuwa ni mtu wa kukaa sana chuoni ila akitoka kwenda sehemu ambayo si gheto kwangu niliingia wivu wa kwenda kupachunguza.

Kelele na ugomvi vilianza pindi nilipooana kuna chats za ex wake ama kuna sehemu kaenda ambayo nina mashaka nayo, sikumwambia nimedukua simu yake ila nilikuwa namwambia kuna watu wameniambia, Nilikuwa na wivu uliopitiliza.

Siku niliyochapiwa !!

Ni siku ambayo walimaliza mitihani yao ya muhula, kuna jamaa nahisi ni class mate wake walienda nae geto kwake, siku hio hata simu yake ilikuwa haipatikani, sasa kesho yake asubuhi ndio kawasha simu, kwenye mtambo naona jamaa anamtumia mesej, vp umerudi salama chuoni, leo uje tena, n.k. jamaa akahamia kuanza kuzungumzia yaliyotokea jana yake, akaanza kuzungumzia mnyanduano wa jana yake, anaomba irudiwe sometimes kwa kiingereza mfano "babe am horny i need a few more pumps to fix the situation", wajaribu style mpya, ex nae anamtania alipiga kimoja basi nae jamaa anajitetea mitihani ilimchosha ana nguvu mpya kumpiga vitatu, n.k. iliniuma sana jamani, kidume hadi machozi yalikuwa yananilenga lenga. Mda wote huo moja kwa moja mawazo yananijia kwamba jamaa kanizidi ufundi na huenda ana mkuyenge mkubwa kunizidi, aish! Dah! Sio poa jamani nyie sikieni tu yani niliumia sana yani.

Huwezi amini nilijifanya sijui chochote, nikampigia simu ex aje, ex alivyo mshenzi ndio kwanza aliniletea zawadi ya t-shirt na akawa anazuga jana simu yake ilikuwa na matatizo flani. (nimeyasahau ).

Nikamkalisha kitako na kumwambia jana umenichiti na nikamwambia nimepata taarifa kutoka kwa mtu wa hapo chuoni kwao kanipa A - Z wa usaliti ulionifanyia, nilimtajia hadi jina la huyo jamaa waliekuwa nae jana, alipiga magoti na kulia sana na kuomba msamaha akaanza visingizio sijui shetani kampitia machozi kama yote analia, nadhani wengi mnajua kipaji walichonacho wanawake kwenye kulia, Kwa upande wangu nilikuwa nimeumia sana kwamba kuna jamaa kamcharaza mkwaju, Very painful na hasira kwa juu.

Nilimtolea uvivu kuna vinguo nguo na kibegi alikuwa nacho hapo gheto vya siku akija kwangu nikavifungasha ovyo ovyo nikamrushia hicho kibegi aondoke mara moja, alikuwa mbishi nami hasira zimenipanda nilimtandika vibao vya nguvu sana kama vitatu hivi timua nje kabisa nikafunga mlango, uzuri hio siku nilikuwa peke yangu hakuna wapangaji wengine.

Nilikuwa nafatilia mesej zake kwa wiki hivi huku nikiwa na maumivu, alikuwa anapiga sana simu ikabidi namba yake niliblok asinipigie, hivyo alikuwa anatumia simu za rafiki zake ila nikigundua sauti yake nakata, kwenye mtambo naona alikuwa anapitia kipindi kigumu alikuwa anachat na marafiki zake juu ya break up, kuomba ushauri, wanamliwaza, n k. kiukweli niliona kajutia nami nilihisi pengine kweli kashetani kalimpitia ila maumivu niliyokuwa nayapata kila nikiwaza alivyonisaliti ni kama kisu kikali kimegonga mfupa, yule jamaa aliemtafuna jana nilikuwa naona kafura analalamika dem hajibu text wala kupokea simu bila kujua msala uliotokea huku, mda ulienda niliacha hata kumfatilia nikafuta huo mtambo maana ulikuwa unanifanya nimuwaze badala ya ku move on.

that was the end.
Hiyo ndio ile maana ya wazaramoo"mwanakulitafuta mwanakulipata"😂😂
 
Sio mkurya na sitoi sababu ya kunipiga
Wengi hawajui Mana ya mwanamke na anahitaji Nini kwa mwanaume. Yaani hajui yeye Ni kiumbe anayetakiwa kulindwa na mwanaume Kama vile Mtoto alindavyo. Mwanao hawezi enda mahala bila ya kujua akaenda wapi ndipo anapopata Mana ya kuwa anajaliwa Fulani.
Yaani kumjali mtu Ina Mana ya kuwa anajulikana anapoenda anachofanya kila wakati so akiwa yeye ana feel needed,secured,guided, watched,Kama unavyojali hela zako ujue zinafanya kitu gani. Yaani mwanamke anapenda mpaka ujue harufu ya mwili wake,nguo yake,harufu za nguo zake,hata nguo zake zote,matendo yaani kwa kifupi umuweke kichwani na umuwaze kila wakati umfanye kipaumbele chako yaani ukipata huzuni ama furaha umueleze
 
Back
Top Bottom