Tank/shimo la lita 1,000,000 ni kubwa sana. Ni sawa na tank za lita 1,000 ziwe 1,000 au tank za lita 10,000 ziwe 100.
Gharama ya kujenga hilo tank/shimo ni kubwa sana, unahitaji materials nzuri kuliimarisha na ufundi madhubuti wenye usimamizi wa kitaalam kabisa. Otherwise utakuwa unalifanyia ukarabati kila msimu.
NB: Nina shimo la lita kama 50,000, linajaa kwa maji ya bati tu, tena mvua zikinyesha kubwa mara tano linafurika. Likijaa situmii maji ya dawasa, nililijenga kipindi hakukuwa na maji, ila linanisaidia hadi leo maji ya dawasa yakiwepo.