Niliwamisi wana jf, ni yapi yame-trend ndani ya siku hizi?

Dah juzi DaJane kazua kizazaa kwa wadada wa Jf sasa na wewe naona unataka kuanzisha balaa kwa wakaka wa jf wanao jipigia hovyo tu ..

Vipi intials ya hiyo ID ni Db au Mc ??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah juzi DaJane kazua kizazaa kwa wadada wa Jf sasa na wewe naona unataka kuanzisha balaa kwa wakaka wa jf wanao jipigia hovyo tu ..

Vipi intials ya hiyo ID ni Db au Mc ??

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana DaJane hana lolote kwa ninalolisema hapa.

Wala simtishi mtu, nachokazia ni watu kua makini, matumiz ya kondom na Kupima yazingatiwe.

Infact wahanga wakubwa wa hizi mambo ni wanawake, Trust me ,ni wanawake wengi ndio wahanga.

Sasa inshu inakuja ivi, unakuta huyo mwanamke, anawatu wawili humu wengine, nahao wawili nao wanawatu wao.

Unaweza ona hapa ,hali ilivo !!!.

Asikudanye mtu mkuu, ukiona tangazo la mtu kutafuta mtu, au tu mumePM alafu hajaweka kipengele cha kupima. Nahata mpaka unaenda kutombanaa naye haulizi habar za kupima au kondom ....

Bora uvae surual /gauni lako usepe .

Dunia yetu ni mbovu kushinda nyakat mbovu.
 
Konki liquid kupewa ubalozi wa kutangaza maziwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante mkuu mimi sina la zaidi ...Wacha tu Abdalah kichwa wazi wangu niendelee kumficha kwenye boxer.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…