Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

Nimependa huu uandishi kama wa Adam Shafi
 
hio sio 'ndoto' ila ni amiri alitumia mwili wake kumuua huyo mama,.....

si umesoma hapo alimuuliza 'kwa mikono yako?’ alipojibu ndio ndipo amiri akaondoka,
sema huyo amiri inaonekana ni mwanga si wa nchi hii, [emoji23]
Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…