Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

Basi wafuatiliaji, kwa pamoja tumpe SteveMollel wiki moja aweke kila kitu katika mpangilio mnyoofu.

Tubaki na arosto kwa walau siku hizo saba kisha atakaporudi aje na story nzima, nasi tule tushibe. Kuliko hii kuonjeshwa onjeshwa. Inafika tumboni kinaisha njaa inabakia pale pale.

Au mnasemaje? Wanaoafiki gongeni LIKE, msioafiki mniquote kueleza namna nyingine nzuri zaidi.

Ahsante..
 
Duhh!! Utamu koleaa!! Utamu kunoga!
 
Hey jamani nipo nje na matukio sana eenh
Episode ya 8!
Ahsante sana Antonnia mrembo anayekimbiza Jf kwa kutokuwa na makuu wala udhia kwa watu kama kuna mtu anabisha basi apite naked tukubaliane nae.
Mweh Tonniah kiazi cherema tu mkuu hana lolotre!
Story ishaenda sana Saii yunaikimbiza episode 9 !!
Yamotrooo kinoumaaa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…