Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
Anwari kayakanyagaSasa utam si wameinjoi wote 😁
Anwari kayakanyaga tayari kashaingia kwenye list ya mtoa roho israeli Amiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anwari kayakanyagaSasa utam si wameinjoi wote 😁
Anwari kayakanyaga tayari kashaingia kwenye list ya mtoa roho israeli Amiri
Udugu unanikana😅😅We sema unantaka tu usinisingizie undugu🤣🤣🤣
Thanx Numbi...
Naona anajitag au haelewi??
Shukran mpenzi, yan hadi nimejikuta naogopa sijui anaenda kumwambia ninj mgaya, ila jaman kuna mambo yakikukuta unaweza kuweuka
Hatari, nahisi hata yeye kutokumuona mgonjwa ulikua mpango, shida hata kama ulilala hospital ndio usipokee simu, yan nahisi ingenitokea mimi ningeshindwa kusema uongo ningejikuta nasema ukwel tuLeo katutag Dr Restart
Labda atasingizia alilala hospital kwa zai ila ni funzo kuna baadhi ya ushosti uwe na mipaka maana huwa inawacost sana wanawake wengi
Uchambuzi murua kabisa huuNawaza kwa sauti.
Je, tukio hili halikuwezi kuwa limepangwa kiustadi kati ya Anwari na Zai?
Mage kaongea na Zai kumkataza kutoa taarifa zake kwa Anwari. Zai akachukia, akagomea mpaka na miadi ya kumuona Mama Miraji.
Jioni Anwari anapiga Zai kuwa mahututi. Mage analazimika kwenda kumuona shoga yake. Anwari anagharamikia matibabu ya Zai kwa malipo ya awali. Unganisha dots hapo. Anashawishiwa na Anwari amsogeze kwa kuwa tayari muda umeenda.
Anaingia kwenye gari la Anwari. Anapuliziwa madawa ya usingizi. Anwari alifanyaje? Mbona yeye hakuathirika endapo gari zima lilikuwa limepuliziwa dawa? Maana yake alishajipanga mapema. Siyo ishu ya kujiandaa ndani ya dakika chache. Na bila shaka dawa ilikuwa katika kiwango kikubwa. Masaa zaidi ya 12 baada ya mhusika kuivuta.
Je, nini kitaharakisha kifo cha Anwari?
1. Hasira ya kubakwa
2. Kumuacha mtoto usiku mzima
3. Kutoeleweka kwa Bw. Mgaya
4. Kumpanda kichwani kuhusu mtoto
Rest in Peace in Advance Anwari.
Zai to follow.
Makoshaaaaaa na jamaa yetu hajashtuka kama magreth ni mdeadly (in dj Afro voice)Anwari kayakanyaga
Tunataka kunyimana nini?Udugu unanikana😅😅
Asante sana ccyBantu Lady Lovelovie baby zu Tayukwa Lastmost Santos06 Unforgettable kitalembwa Kalpana Episode 9 tayariiiii
cousin leadermoe Naona ushapita pande hii!!
Nimefika madam Antonia asantee sanaBantu Lady Lovelovie baby zu Tayukwa Lastmost Santos06 Unforgettable kitalembwa Kalpana Episode 9 tayariiiii
cousin leadermoe Naona ushapita pande hii!!
Asante sana Firdaus