Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Ndio namie nilimuuza Half american mtu unaenjoyje hapo !!!Hivi mtu hana fahamu kuna utelezi kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio namie nilimuuza Half american mtu unaenjoyje hapo !!!Hivi mtu hana fahamu kuna utelezi kweli?
Itakuwa. OILEDNdio namie nilimuuza Half american mtu unaenjoyje hapo !!!
Mage Noumaa!! Hapo washamuua baba watoto wake sijui kama atakaa na amani aisee!!Tushamzika wewe😂😂😂😂 hapa tunawaza tumuue nan tena
Itakua alitumia oil make mpaka utelezi uwepo Lazima uwe nawe umesisimkaaa kihisia tofauti na hapo angemchubua tu na kumuumiza na sijaona Mage alipolalamika kuchubuka☺️!Itakuwa. OILED
Mganga hajigangi!!Nani atakaelitekeleza hilo? Kwamba mage ana mauza uza nayeye.?
Sawia...ila natamani sana mgaya asingepata umauti otherwise kama aliendelea kumtendea maovuNgoja tuone!
Kweli Kabisa Na hapa kati amebadilika pia sijui huko mbele;!Sawia...ila natamani sana mgaya asingepata umauti otherwise kama aliendelea kumtendea maovu
Naona ni mtu mzuri anaejali familia
Wanawake nyie mna moyo sana Imagine Mgaya apo hata hakushtukia anajua ana jembe lakeKweli Kabisa Na hapa kati amebadilika pia sijui huko mbele;!
Kubambikiziwa watoto wawili inatosha!
Mgaya anatia huruma jamani!! Inaumaa dah! Akija kujua sijui atafanyeje !!Wanawake nyie mna moyo sana Imagine Mgaya apo hata hakushtukia anajua ana jembe lake
Ahsante sanaaaaa Mkuu
Ndio ndugu mtalamu. Naona unatupa za ndaaani kabisa[emoji125][emoji125]Itakua alitumia oil make mpaka utelezi uwepo Lazima uwe nawe umesisimkaaa kihisia tofauti na hapo angemchubua tu na kumuumiza na sijaona Mage alipolalamika kuchubuka[emoji3526]!
Khakhakhaaaa!! Tunajiuliza tu iliwezekanaje cousin!Ndio ndugu mtalamu. Naona unatupa za ndaaani kabisa[emoji125][emoji125]
[emoji3][emoji3][emoji3] Hata mimi najiuliza tu uliwezaje kutoa elimu yote hiyo bure.Khakhakhaaaa!! Tunajiuliza tu iliwezekanaje cousin!
Kutoa Elimu lol😂![emoji3][emoji3][emoji3] Hata mimi najiuliza tu uliwezaje kutoa elimu yote hiyo bure.
Akijua tu ndio kifo kitamuhusu... Mage akitamka tu Amiri anatenda.Mgaya anatia huruma jamani!! Inaumaa dah! Akija kujua sijui atafanyeje !!
Inasikitisha sana bora asijue walai uchungu wake huo!!! !Akijua tu ndio kifo kitamuhusu... Mage akitamka tu Amiri anatenda.
Afi ngoja tuoneMganga hajigangi!!
Ngoja tuone!
Jiulize wanaobaka maiti je? Nadhan faham zilikuwepo ila ile hali ya ulevi ndio ilimfanya asielewe kinachoendeleaNdio namie nilimuuza Half american mtu unaenjoyje hapo !!!
Duhh!! Kweli watu wana uthubutu!Jiulize wanaobaka maiti je? Nadhan faham zilikuwepo ila ile hali ya ulevi ndio ilimfanya asielewe kinachoendelea