Kila nikikuona nakumbuka ile story yako ya yule mwalimu wa kike alieanza uchepukaji uzeenindo naanza kuisoma leo,yani nimetoa macho kama fundi saa
Ha ha ha.... Naendelea kumkosoa pale napoona pana shida.... π€£Chizi Maarifa toa neno kwa huyu author[emoji1787]tafadhali
Ukute Kuna movie ya kifilipino huko ndo anadesa,Sasa movie haijarushwa ,hahaassaLabda nae ana desa sehem Ebu tuwe wavumilivu
Umekula huku apostoKumbe upande huu ndio mnateseka hivi? π π
Umekuja huku pia mzee aposto?Na soon yangu naimaliza. Ili story za kusoma zipungue, mbaki mnawabembeleza hawa wasimuliaji wenu π π π π
Umekuja
Binafsi Katika story zangu zote ambazo nimekuwa nikiweka jukwaani, huwa nasubiria pakiwa hakuna jam ya story. Hii story ambayo naandika now, niliplan kuiweka tokea last year, ila kukawa na story 2 za Steve na moja ya Umughaka. Nikabaki kuwa msomaji, sikuanzisha story.Story zimekuwa nyingi Hadi nashindwa nisome ipi na kumaliza
Yuko SAS HV
Poker
UMUGHAKA
Analyse
Pettymagambo
SteveMollel
Jack Daniel
Wote Hawa Wana story zao zinatembeaa
Unaweza kuchanganya visa vya wasimuliaaji
Ni vyema mmoja amalize story Kisha mwingine aanzishe yake na siyo kuturundikia story zote hzo kwa wakat mmoja
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Yeah, na mm huwa nasoma story za wengine pia π πUmekuja huku pia mzee aposto?
Kutaka attention tu mkuuBinafsi Katika story zangu zote ambazo nimekuwa nikiweka jukwaani, huwa nasubiria pakiwa hakuna jam ya story. Hii story ambayo naandika now, niliplan kuiweka tokea last year, ila kukawa na story 2 za Steve na moja ya Umughaka. Nikabaki kuwa msomaji, sikuanzisha story.
Ugumu unaokuja, Mtu akianzisha story ambayo inaweza isha ndani ya wiki mbili, atajivuta hata mwezi, miezi au zaidi. Sijui tatizo linakuwa wapi au ndio kusaka attention. Unakuta Uzi unawachangiaji wengi, ila humo ndani yamejaa malumbano tu, story haiendelei.
Yeah, na mm huwa nasoma story za wengine pia [emoji28][emoji28]
Safi kabisaYeah, na mm huwa nasoma story za wengine pia π π
Huo Uzi chizi maarifa na dr namugari hawajauona? π π πKuna ile bulldog katema pesa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Soma pm yangu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu muwe mnaweka tu jamani, wengine tuna vipaji vya kusoma na hobby yaani tunasoma vitu vingi kwa wakati mmoja na tunaenjoy.....Binafsi Katika story zangu zote ambazo nimekuwa nikiweka jukwaani, huwa nasubiria pakiwa hakuna jam ya story. Hii story ambayo naandika now, niliplan kuiweka tokea last year, ila kukawa na story 2 za Steve na moja ya Umughaka. Nikabaki kuwa msomaji, sikuanzisha story.
Ugumu unaokuja, Mtu akianzisha story ambayo inaweza isha ndani ya wiki mbili, atajivuta hata mwezi, miezi au zaidi. Sijui tatizo linakuwa wapi au ndio kusaka attention. Unakuta Uzi unawachangiaji wengi, ila humo ndani yamejaa malumbano tu, story haiendelei.
Hawajafika ππππHuo Uzi chizi maarifa na dr namugari hawajauona? π π π
Jack Daniel ana story gani!?Story zimekuwa nyingi Hadi nashindwa nisome ipi na kumaliza
Yuko SAS HV
Poker
UMUGHAKA
Analyse
Pettymagambo
SteveMollel
Jack Daniel
Wote Hawa Wana story zao zinatembeaa
Unaweza kuchanganya visa vya wasimuliaaji
Ni vyema mmoja amalize story Kisha mwingine aanzishe yake na siyo kuturundikia story zote hzo kwa wakat mmoja
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Basi sawa. Nenda kaendelee kuisoma yanguMkuu muwe mnaweka tu jamani, wengine tuna vipaji vya kusoma na hobby yaani tunasoma vitu vingi kwa wakati mmoja na tunaenjoy.....