Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 9,164
- 18,402
Kuna watu nahisi huyu Steve akitokea mbele yao atachezea mingumi mpk maji aite mma [emoji38] [emoji1787]We mnunua vitabu uku umefata nini?[emoji854]mbona unatikisa makalio mbele ya wanaume...
Ahaa. Pole sana swaheeb. [emoji22]Hello guys, natumai mnaendelea vema.
Kwa upande wangu wiki hii na ile ilopita hazikuwa nzuri sana kwani wiki ilopita tulikuwa tunapambana na kuuguza na wiki hii tulikuwa tunapambana na msiba wa mama yangu mkubwa, mwanamke aliyenilea na kunienzi kama mtoto wa kutoka tumboni mwake na hivyo sikumtambua kwa kumuita mama mkubwa bali mama kama mama.
Amesumbuliwa vibaya mno na sukari pia presha, tukahangaika hospitali ya Kitengule, Lugalo kisha Muhimbili na hatimaye kuhamishiwa Mloganzila ambako ndipo alipofia.
Nashukuru tumemaliza salama shughuli ya msiba hapa Mbezi beach, tukasafiri salama kwenda Kilimanjaro alipozikiwa na tumerudi salama hapa Dar.
Zilikuwa ni siku 'tough' lakini hakuna kinachodumu, nazo zilipita.
Samahani kwa kuwakwaza popote pale, haikuwa kusudi langu. Nami sijabeba kebehi wala shutuma zozote kutoka humu ndani maana usilolijua litakusumbua, na nafahamu sisi watu ni wazuri sana kwenye kutoa hukumu tusijue tunatofautiana viatu tunavyovaa.
Pasaka njema.
Kheri yangu mie nilikuwa naumia ndani kwa ndani lkn nilikuwa kimyaaaaaaaMajitu ya humu ni ya hovyo sana, yamepata aibu yameingia mitini, pumbvu kabisa .
Pole sana mkuu.
Shika kwenye mshono, usilete story mpaka siku 40 zipite
Nimekuja kumtetea mtoa story dhidi ya mashoga kama wewe.We mnunua vitabu uku umefata nini?[emoji854]mbona unatikisa makalio mbele ya wanaume...
Pole sana SteveMollel kwa msiba. Roho ya Marehemu, ilale mahala pema peponi.Hello guys, natumai mnaendelea vema.
Kwa upande wangu wiki hii na ile ilopita hazikuwa nzuri sana kwani wiki ilopita tulikuwa tunapambana na kuuguza na wiki hii tulikuwa tunapambana na msiba wa mama yangu mkubwa, mwanamke aliyenilea na kunienzi kama mtoto wa kutoka tumboni mwake na hivyo sikumtambua kwa kumuita mama mkubwa bali mama kama mama.
Amesumbuliwa vibaya mno na sukari pia presha, tukahangaika hospitali ya Kitengule, Lugalo kisha Muhimbili na hatimaye kuhamishiwa Mloganzila ambako ndipo alipofia.
Nashukuru tumemaliza salama shughuli ya msiba hapa Mbezi beach, tukasafiri salama kwenda Kilimanjaro alipozikiwa na tumerudi salama hapa Dar.
Zilikuwa ni siku 'tough' lakini hakuna kinachodumu, nazo zilipita.
Samahani kwa kuwakwaza popote pale, haikuwa kusudi langu. Nami sijabeba kebehi wala shutuma zozote kutoka humu ndani maana usilolijua litakusumbua, na nafahamu sisi watu ni wazuri sana kwenye kutoa hukumu tusijue tunatofautiana viatu tunavyovaa.
Pasaka njema.
Huu ndo mwendelezo ?Hello guys, natumai mnaendelea vema.
Kwa upande wangu wiki hii na ile ilopita hazikuwa nzuri sana kwani wiki ilopita tulikuwa tunapambana na kuuguza na wiki hii tulikuwa tunapambana na msiba wa mama yangu mkubwa, mwanamke aliyenilea na kunienzi kama mtoto wa kutoka tumboni mwake na hivyo sikumtambua kwa kumuita mama mkubwa bali mama kama mama.
Amesumbuliwa vibaya mno na sukari pia presha, tukahangaika hospitali ya Kitengule, Lugalo kisha Muhimbili na hatimaye kuhamishiwa Mloganzila ambako ndipo alipofia.
Nashukuru tumemaliza salama shughuli ya msiba hapa Mbezi beach, tukasafiri salama kwenda Kilimanjaro alipozikiwa na tumerudi salama hapa Dar.
Zilikuwa ni siku 'tough' lakini hakuna kinachodumu, nazo zilipita.
Samahani kwa kuwakwaza popote pale, haikuwa kusudi langu. Nami sijabeba kebehi wala shutuma zozote kutoka humu ndani maana usilolijua litakusumbua, na nafahamu sisi watu ni wazuri sana kwenye kutoa hukumu tusijue tunatofautiana viatu tunavyovaa.
Pasaka njema.
Pole sana mkuu!!Hello guys, natumai mnaendelea vema.
Kwa upande wangu wiki hii na ile ilopita hazikuwa nzuri sana kwani wiki ilopita tulikuwa tunapambana na kuuguza na wiki hii tulikuwa tunapambana na msiba wa mama yangu mkubwa, mwanamke aliyenilea na kunienzi kama mtoto wa kutoka tumboni mwake na hivyo sikumtambua kwa kumuita mama mkubwa bali mama kama mama.
Amesumbuliwa vibaya mno na sukari pia presha, tukahangaika hospitali ya Kitengule, Lugalo kisha Muhimbili na hatimaye kuhamishiwa Mloganzila ambako ndipo alipofia.
Nashukuru tumemaliza salama shughuli ya msiba hapa Mbezi beach, tukasafiri salama kwenda Kilimanjaro alipozikiwa na tumerudi salama hapa Dar.
Zilikuwa ni siku 'tough' lakini hakuna kinachodumu, nazo zilipita.
Samahani kwa kuwakwaza popote pale, haikuwa kusudi langu. Nami sijabeba kebehi wala shutuma zozote kutoka humu ndani maana usilolijua litakusumbua, na nafahamu sisi watu ni wazuri sana kwenye kutoa hukumu tusijue tunatofautiana viatu tunavyovaa.
Pasaka njema.
Arostooooo kareeee hadi sio poahhh!!Hivi wote tukisema hivi nini kitatokea!?Ila jamaa huenda ikawa anazingua kweli daah!
[emoji23][emoji23][emoji23]Punguza umburula, mwenzio alikua na majanga .
Unawaza kwa kutumia mpododu wa kwenye avatar yako sio
Na hiki ni kisa kama nilivyosimuliwa na Magreth Haule, mwanamke aliyewahi kuhudumia shule moja ya msingi (English Medium) kata ya Mbezi Juu, Dar es salaam...
Sasa wakati mnasafiri si ndo ungekuwa unatunga visa vingine? Au wewe ndo ulikuwa dereva? Mkiwa mmelala usiku kwa nini usiandike mwendelezo? Hata wakati wa kurudi Dar ungeandika visa vingi tu maana dar knjaro pana distance. Acha uvivu dogo endeleza kipaji cha utunzi watu waburudike sikukuu hizi.Hello guys, natumai mnaendelea vema.
Kwa upande wangu wiki hii na ile ilopita hazikuwa nzuri sana kwani wiki ilopita tulikuwa tunapambana na kuuguza na wiki hii tulikuwa tunapambana na msiba wa mama yangu mkubwa, mwanamke aliyenilea na kunienzi kama mtoto wa kutoka tumboni mwake na hivyo sikumtambua kwa kumuita mama mkubwa bali mama kama mama.
Amesumbuliwa vibaya mno na sukari pia presha, tukahangaika hospitali ya Kitengule, Lugalo kisha Muhimbili na hatimaye kuhamishiwa Mloganzila ambako ndipo alipofia.
Nashukuru tumemaliza salama shughuli ya msiba hapa Mbezi beach, tukasafiri salama kwenda Kilimanjaro alipozikiwa na tumerudi salama hapa Dar.
Zilikuwa ni siku 'tough' lakini hakuna kinachodumu, nazo zilipita.
Samahani kwa kuwakwaza popote pale, haikuwa kusudi langu. Nami sijabeba kebehi wala shutuma zozote kutoka humu ndani maana usilolijua litakusumbua, na nafahamu sisi watu ni wazuri sana kwenye kutoa hukumu tusijue tunatofautiana viatu tunavyovaa.
Pasaka njema.
Sasa si ndio member walio online na wafuatiliaji wa story ,ukijua kung'ata ujue na kupulizaYaliyokuwa yanatukana ndo yamekuwa ya kwanza kutoa pole, kweli Bongo bila unafki huwezi kuishi
So kuwepo online na kufuatilia story ndo kunawapa haki ya kutukana?Sasa si ndio member walio online na wafuatiliaji wa story ,ukijua kung'ata ujue na kupuliza
pole sana steveHello guys, natumai mnaendelea vema.
Kwa upande wangu wiki hii na ile ilopita hazikuwa nzuri sana kwani wiki ilopita tulikuwa tunapambana na kuuguza na wiki hii tulikuwa tunapambana na msiba wa mama yangu mkubwa, mwanamke aliyenilea na kunienzi kama mtoto wa kutoka tumboni mwake na hivyo sikumtambua kwa kumuita mama mkubwa bali mama kama mama.
Amesumbuliwa vibaya mno na sukari pia presha, tukahangaika hospitali ya Kitengule, Lugalo kisha Muhimbili na hatimaye kuhamishiwa Mloganzila ambako ndipo alipofia.
Nashukuru tumemaliza salama shughuli ya msiba hapa Mbezi beach, tukasafiri salama kwenda Kilimanjaro alipozikiwa na tumerudi salama hapa Dar.
Zilikuwa ni siku 'tough' lakini hakuna kinachodumu, nazo zilipita.
Samahani kwa kuwakwaza popote pale, haikuwa kusudi langu. Nami sijabeba kebehi wala shutuma zozote kutoka humu ndani maana usilolijua litakusumbua, na nafahamu sisi watu ni wazuri sana kwenye kutoa hukumu tusijue tunatofautiana viatu tunavyovaa.
Pasaka njema.
Pole sana Steve, Mungu ampumzishe mama pema, usiumizwe na commets za wana humu, wazoee tu wengine wana mental issuesHello guys, natumai mnaendelea vema.
Kwa upande wangu wiki hii na ile ilopita hazikuwa nzuri sana kwani wiki ilopita tulikuwa tunapambana na kuuguza na wiki hii tulikuwa tunapambana na msiba wa mama yangu mkubwa, mwanamke aliyenilea na kunienzi kama mtoto wa kutoka tumboni mwake na hivyo sikumtambua kwa kumuita mama mkubwa bali mama kama mama.
Amesumbuliwa vibaya mno na sukari pia presha, tukahangaika hospitali ya Kitengule, Lugalo kisha Muhimbili na hatimaye kuhamishiwa Mloganzila ambako ndipo alipofia.
Nashukuru tumemaliza salama shughuli ya msiba hapa Mbezi beach, tukasafiri salama kwenda Kilimanjaro alipozikiwa na tumerudi salama hapa Dar.
Zilikuwa ni siku 'tough' lakini hakuna kinachodumu, nazo zilipita.
Samahani kwa kuwakwaza popote pale, haikuwa kusudi langu. Nami sijabeba kebehi wala shutuma zozote kutoka humu ndani maana usilolijua litakusumbua, na nafahamu sisi watu ni wazuri sana kwenye kutoa hukumu tusijue tunatofautiana viatu tunavyovaa.
Pasaka njema.