Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

Dah utamu kolea
 
Kikopo kilikuw na nini? wekzako wa mombasa wanaweka kisamvu kwenye Kopo wanamusa mda wote wapate stimu
 
Kikopo kilikuw na nini? wekzako wa mombasa wanaweka kisamvu kwenye Kopo wanamusa mda wote wapate stimu
Kilikuwa na mabaki ya unga unga mweusi, mithili ya ili carbon rod inayokaa kwenye betri. Ule unga ulikuwa laini sana kama powder 😅😅
 
Natuma kila siku sehemu moja. Panapo majaliwa nitaongeza idadi.
Nilichogundua mkuu mollel wanadamu haturidhiki nakila hali,binafsi naona unaandika story ndefu na hauna mbambamba lkn still watu wanakulaumu,watu wahumu wanataka uache shuguli zako zote ukae kwenye keyboard kutype nakuwafurahisha wao tuu,daahh,sisi wanadu niviumbe wa ajabu kwelikweli.
 
Ohoooo mtu kazi Amiri karudi
 
Naomba link ya uzi wa poker na Jack Jack Daniel mkuu.
Dah unanisikitisha sna kwamba bado hujui kuitumia mtandao huu wa jf Hadi kuanza kuombana link za nyuz za watu

Nenda moja kwa moja kweny account yake Kisha press post/ baada ya hapo utaona nyuz zake ziko nyingi uyachagua utasoma ipi uache ipi

Mfno huyu Jack d anazo nyuzi nyingi tu na yule poker fanya hyo hvyo utaona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…