Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

Jamani hivi mnataka steve aache shughuli zake za kumuingizia kipato ili muda huo autumie hapa kuwaburudisha nyie waja? Yeye ni mtu mzima na anajua hajamaliza hadithi lakini kuna maisha nje ya jf huwezi kujua anapitia changamoto gani, tuwe wavumilivu.
Uko sahihi sana,hata mm hua najiuliza sanaa yaani mtu aache shuguli zake aanze kushinda jf kuburudhisha watu ambao masaa yote wako n smartphone mikononi wakiperuzi nakuhama majukwaa tofauti tofauti.kazi zinatofautiana kun baadhi yamajukumu yanachukua concentration ya muhusika asilimia miamoja,hii inadhihidisha jinsi watanzania tulivyo wavivu na hatujiheshimukabisa.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚naona analike kwanza
Huyu sasa anatuchosha
πŸ˜‚ Naona atakua anasoma akikutana na koments analike kwanza πŸ˜‚πŸ˜!.

Hivi mwendelezo ndio ulishindikana kabisa???? Hii ya pili Stivu anaiachia njiani Kuna ile ya Tujibane hai tutasimulia pia ilikua Hivihivi!!
 
mkuu mmash ushalimaliza kuisoma au bado unalike kwanzaa,πŸ˜‚!! Santo sanaa likes nazipata kama zoutreeee!!
Yaani no bampa to bampa mkuu,ukiona umepata like ujue ya story ya juu yaje nishaipitia,nilimuachaga bw SteveMollel asogee sogee kwanza ili cku nikimuanzia basi nahakikisha namalizana nae cku hio hio au cku ya pili,Leo nimemuanza jioni ya SAA kumi na ntahakikisha nalala SAA kumi usiku,SAA mbili zantosha KBS kulalaπŸ˜‚
 
Yaani no bampa to bampa mkuu,ukiona umepata like ujue ya story ya juu yaje nishaipitia,nilimuachaga bw SteveMollel asogee sogee kwanza ili cku nikimuanzia basi nahakikisha namalizana nae cku hio hio au cku ya pili,Leo nimemuanza jioni ya SAA kumi na ntahakikisha nalala SAA kumi usiku,SAA mbili zantosha KBS kulalaπŸ˜‚
Sema hii hajaimaliziaa banaa katuacha njiani kama ile ya Tujibane haiii!! Sijui Stivu anakwama wapii sikuhizi!!
 
Sema hii hajaimaliziaa badaa katuacha njiani kama ile ya Tujibane haiii!! Sijui Stivu anakwama wapii sikuhizi!!
YeleuwiiiiπŸ˜‚,mm nakaza msuli hapa na popcorn zangu sado nzima imejaa na juice Lita 2 nikitaraji Leo namaliza kumbe huko lembe hakuna kitu?πŸ™„
Yethu na Maria cjui niachie hapa hapa au cjui nafanyaje
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘€,nakuzoom ujueπŸƒ
πŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸ€­
 
Hizi simulizi ni changamoto sana. Kuna ile ya Lisa tulikua tunaendelea nayo vizuriii mara paaap tukaambiwa muandishi kufunga sehemu za copy and paste telegram tukaomba tutumiwe screenshot wakasema itakua ngumu sana. Hatujakaa vizuri muandishi mwenyewe akajitokeza na kutoa namba ya simu mambo ya kuuziana story yakaanzia hapo daaah
Aisee yule jamaa alinikwaza sana na Alvin wake
 
Back
Top Bottom