Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

Wamemkanda hadi sio poahh 😁!
 
Jamaa jinga wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mwanzo ilionekana Mgaya alianza mahusiano na Momo wakiwa tayari wana mtoto na Magreth.

Hapa inaonesha mtoto alipatikana baada ya Mgaya kuoa na kuacha Momo
 
"Amiri alinambia bwana Mgaya alikuwa kama mtu alochanganyikiwa, anaongea mwenyewe na kufokea hewa, hata alipoingia kwenye gari lake alisahau funguo, alipoenda kuuchukua ufunguo akamsahau mtoto, alipomrejea mtoto akasahau simu!"

Nimecheka[emoji1787]
 
[emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…