Niliwekewa chura kwenye papuchi il niache kukojoa

Niliwekewa chura kwenye papuchi il niache kukojoa

Aiseee,,adhabu nyingine bwana! a.rahabu tungekuwa kulee ile nchi nyingine ningekujibu!
 
Last edited by a moderator:
Mnaleta utani lakini wengi wenu mlikojoa hadi sekondari tulikuwa na vikojozi. Wengine hadi ukubwani wanakojoa. Mshukuru Mungu kama uliacha kukojoa kitandani mapema. Mbaya zaidi watoto wenu wa pampas hamuwapi nafasi ya kuwatenga ili wajifunze kukojoa. Matokeo yake nasikia shule za bweni siku hizi moja ya requirements ni mpira wa mkojo. Hivyo jadilini hili critically maana linawahusu ambao hamjawa na familia.
 
Wengine mpaka waingiziwe dushe ndio wakojoe
 
najua mkeo atakua na ujuzi
maana waganga wengi hata wake zao huwa na skills
mpe mkeo chura aje nae

Hahaaaaaa,mke wangu tunasaidiana kwenye magonjwa mengine,kama dengue,huo ugonjwa wa kukojoa bado hajajua kuutibu!
 
Nilikuwa nalala na baba siku hiyo nilikojoa nikatandikwa huku nikijitetea mkojo uliruka na ndio ukawa mwisho wa kukojoa kitandani!
 
Back
Top Bottom