Niliyoshuhudia Kariakoo

Yale ya wizara nayo yana shida mkuu..?
 
Serikali inayoweka chama mbele unadhani hayata jirudia haya. ..? Uokoaji wenyewe eti mawaziri wapo wamekunja nne tu pale. V8 kibao ila wagonjwa wana bebwa na kirikuu
 
Karikakoo inahitaji kuchunguzwa yale majengo yote.
Tujifunze kupitia ajali hii tusije tukajisahau mbeleni
Siyo nchi hii,kwa anayekumbuka mwaka 2012 hapa Kariakoo kati ya mtaa wa Mafia na Swahili kuna jengo la floor 8 lipo kulia kama unaingia sokoni Kariakoo wakati likiwa ktk hatua za mwisho za ujenzi lilipata crack likiwa limesimama lenyewe ilikuwa siku ya jumapili wala hakukuwa na mafundi.

Nakumbuka alikuja mkuu wa mkoa kipindi hicho akaamuru libomolewe ila kilichofanyika ujenzi ulisimama baada ya miaka miwili ukaendelea napoandika hapa limeshajaa frame zote mpaka za 2nd floor zimejaa nadhani kinachosaidia juu hakuna wapangaji,Waafrika sisi kinatulinda Mungu na mizimu tu huko serikalini hamna kitu.
 
Upo sahii
 
Mleta uzi bw. Nelson Kagame mbona reflector yako, jeans ulovaa na viatu havionyeshi hata chembe ya vumbi ????
Kwa hiyo badala ya kusaidia uemeenda kibishooo uwachora wahanga ???? Acha hizo
Nilikua nagawa vifaa vya uokozi na chakula.....sikua kwenye vikosi kazi vya uokozi.
Mm sio mtaalamu sikuruhusiwa kuingia ndani ya jengo lililoanguka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…