TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Mosi; kabisa nasikitika kushindwa kugika eneo la tukio sababu sihusiki na sina kibali cha kuniruhusu kufika eneo la tukio.
Pili; nimeshindwa kupiga picha yoyote maana nilifukuzwa kama haramia.
Tatu; nimeshindwa kuelewa huu ulinzi wa leo kwa nini leo na siyo jana na juzi wakati tukio bado la moto na wengi waliopo chini wakiwa na nguvu za kuimiri ku-survive?
Hakika afrika bado na tuna safari ndefu mno yaani. Naanza na safari kutoka Mbezi mwisho pale, baada ya kukata tiketi ya mwendokasi nimekaa masaa 2+ ndipo basi likaja na tulijazana mithili ya nyuki wanamuua mvamizi kwenye mzimga wao.
Njiani mwendokasi haikupita kwenye barabara yake bali ilitumia njia ya magari ya kawaida, kisa na mkasa kwamba kuna basi mwendokasi lililoharibika njiani, kero hiyo.
Hiyo sijui kampuni ya mabasi ya DART ni mbaya sana, hawana utaratibu mzuri, hawatoi taarifa zozote kwamba mabasi yao yanaishia njiani ili abilia wapande wakijua alternative nyingine baada ya kushuka, bladfkn.
Sijui ndiyo mnaitwa express!, maana haikusimama kituo chochote hadi pale kituo mnaita fire (zimamoto) gafla naulizwa wewe hushuki? Nikajibu ndiyo, nashuka mwisho gerezani, nikaambiwa kule haiendi kuna uokoaji wa maporomoko.
Sikujua kwa nini pale ila nilishuka nikaanza kutembea kwa kuuliza kuelekea kuokoa ndg zetu bana, sijafika hata mita 100 nazuia tena na mgambo "weweeee usipiiiteee hapooooo!!"
Nilimwambia naenda kwenye jengo kusaidia kukokoa akaniambia huruhusiwi na marufuku, nikasikia askali anamuuliza mgambo "anatakaaa niniiiii huyooooo!"
Kutokea hapo ndg yangu msomaji, nikarudi nyuma kuuliza mwananchi mmoja mmoja jinsi ya kufika eneo husika na sikufanikiwa kufika, kisa ulinzi.
Makosa makubwa ya kiusalama; kufunga barabara kuu inayotumika katika uzalishaji na usafirishaji katikati ya jiji, mtu anatoka kwa miguu fire hadi gerezani.
Hapo nimewashangaa viongozi wote hadi jeshi la polisi, kushindwa kusimamia matumizi ya upande mmoja kwa mbasi ya mwendokasi yapite na upande wa pili ukabaki kwa wao waokoaji.
Kuweka ulinzi wa hali ya juu utadhani kuna uvamizi wa hali ya juu (high level crime robbery) tena baada ya siku mbili kupita, kichekesho hiki ndg.
Mwisho lakini sinkwa umuhimu; Afrika bado tunatakiwa kutawaliwa (colonize)
Pili; nimeshindwa kupiga picha yoyote maana nilifukuzwa kama haramia.
Tatu; nimeshindwa kuelewa huu ulinzi wa leo kwa nini leo na siyo jana na juzi wakati tukio bado la moto na wengi waliopo chini wakiwa na nguvu za kuimiri ku-survive?
Hakika afrika bado na tuna safari ndefu mno yaani. Naanza na safari kutoka Mbezi mwisho pale, baada ya kukata tiketi ya mwendokasi nimekaa masaa 2+ ndipo basi likaja na tulijazana mithili ya nyuki wanamuua mvamizi kwenye mzimga wao.
Njiani mwendokasi haikupita kwenye barabara yake bali ilitumia njia ya magari ya kawaida, kisa na mkasa kwamba kuna basi mwendokasi lililoharibika njiani, kero hiyo.
Hiyo sijui kampuni ya mabasi ya DART ni mbaya sana, hawana utaratibu mzuri, hawatoi taarifa zozote kwamba mabasi yao yanaishia njiani ili abilia wapande wakijua alternative nyingine baada ya kushuka, bladfkn.
Sijui ndiyo mnaitwa express!, maana haikusimama kituo chochote hadi pale kituo mnaita fire (zimamoto) gafla naulizwa wewe hushuki? Nikajibu ndiyo, nashuka mwisho gerezani, nikaambiwa kule haiendi kuna uokoaji wa maporomoko.
Sikujua kwa nini pale ila nilishuka nikaanza kutembea kwa kuuliza kuelekea kuokoa ndg zetu bana, sijafika hata mita 100 nazuia tena na mgambo "weweeee usipiiiteee hapooooo!!"
Nilimwambia naenda kwenye jengo kusaidia kukokoa akaniambia huruhusiwi na marufuku, nikasikia askali anamuuliza mgambo "anatakaaa niniiiii huyooooo!"
Kutokea hapo ndg yangu msomaji, nikarudi nyuma kuuliza mwananchi mmoja mmoja jinsi ya kufika eneo husika na sikufanikiwa kufika, kisa ulinzi.
Makosa makubwa ya kiusalama; kufunga barabara kuu inayotumika katika uzalishaji na usafirishaji katikati ya jiji, mtu anatoka kwa miguu fire hadi gerezani.
Hapo nimewashangaa viongozi wote hadi jeshi la polisi, kushindwa kusimamia matumizi ya upande mmoja kwa mbasi ya mwendokasi yapite na upande wa pili ukabaki kwa wao waokoaji.
Kuweka ulinzi wa hali ya juu utadhani kuna uvamizi wa hali ya juu (high level crime robbery) tena baada ya siku mbili kupita, kichekesho hiki ndg.
Mwisho lakini sinkwa umuhimu; Afrika bado tunatakiwa kutawaliwa (colonize)