1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 7,201
- 9,529
Tatizo Vijana Wa Siku hizi hamfanyi utafiti.Jeshi la wananchi wanafundishwa kulenga kichwani tu ndio, lakini polisi wanafundishwa kulenga miguuni ili wamkamate mtuhumiwa na kumpeleka kwenye chombo cha kutoa haki sio kuua.
Tambua Jeshi la wananchi na Polisi ni vitu viwili tofauti. Kama kuna tatizo Jeshi la wananchi hawana majadiliano lakini wana nafasi hiyo kufanikisha upatikanaji wa kiini cha tatizo baada ya kupeleleza.
Polisi walioua, aliyewatuma na kuagiza operesheni hiyo atashitakiwa tu, Kesi rejea ni Lengao Ole Sabaya hii itakuja kuwasumbua sana mpaka kuna baadhi watakimbia nchi
Tanzania Ina Majeshi Matatu.
Jeshi la Wananchi
Jeshi la Polisi na
Jeshi la magereza
Na Majeshi Yote hayo Yana Vikosi maalumu waliofumzwa matunzo maalumu Ndani na nje ya Nchi Kwa gharama Kubwa ya Kodi zetu.
Ukizingua kwenye haya Majeshi unazinguliwa.
Magaidi wanataka kurudi kama Kibiti na wanawatumia wanasiasa mana pesa zinazofadhili ugaidi ni nyingi sana. Zinatoka Mashariki na magharibi Kwa manufaa ya Nchi hizo HUKO nje .
Polisi wakibweteka na kumsikiliza Abdul Nondo wajue wamekwisha mana huyo ni mshika Kibiti Wa Vikundi vya kihalifu vinavyojifungamanisha na Siasa.