Niliyoyabaini katika Operesheni ya Polisi dhidi ya watuhumiwa wa Panya Road - Dar es salaam

Tatizo Vijana Wa Siku hizi hamfanyi utafiti.
Tanzania Ina Majeshi Matatu.
Jeshi la Wananchi
Jeshi la Polisi na
Jeshi la magereza

Na Majeshi Yote hayo Yana Vikosi maalumu waliofumzwa matunzo maalumu Ndani na nje ya Nchi Kwa gharama Kubwa ya Kodi zetu.

Ukizingua kwenye haya Majeshi unazinguliwa.

Magaidi wanataka kurudi kama Kibiti na wanawatumia wanasiasa mana pesa zinazofadhili ugaidi ni nyingi sana. Zinatoka Mashariki na magharibi Kwa manufaa ya Nchi hizo HUKO nje .

Polisi wakibweteka na kumsikiliza Abdul Nondo wajue wamekwisha mana huyo ni mshika Kibiti Wa Vikundi vya kihalifu vinavyojifungamanisha na Siasa.
 
Duuu, mkuu Kwahiyo vita ya Burundi ilisababishwa na panya road wa huko? Mkuu hao watu wanaobaka, kuvuta bangi nk ni wa taasisi gani ya kimamlaka ili tuseme hawafanyi sawa?
Mbeberu hawapendi kuona amani kwenye Nchi yenye Rasilimali nyingi kama Tanzania .
Tafakari!!!

Kumbuka na Rais Wa Zanzibar ametangaza KUFANYA mchakato Wa kuchimba mafuta .

Mafuta yakichimbwa Zanzibar ni pigo Kubwa sana Kwa Nchi zile na mabeberu walioweka visima vyao Kule.

Wanaotumiwa kule Zanzibar Kwa sasa ni ACT ya Nondo.
 
Panyaroad na Watoto wa mitaani ni kufeli kwa sera mbovu tulizonazo KUHUSU ajira na uwajibikaji!!

Ungetuambia nyie ACT sera Zenu ni zipi za kutatua janga hili!!

Polisi ni watumishi wanaotekeleza sera mnazotunga nyie wanasiasa!!!ziwe sera NZURI au MBAYA!!
 

una akili nzuri ya kutambua kuliko wachangiaji wooote humu mburura umeeleza vizuri lakini hawatakuelewa
 
Sasa hivi pametulia. tofauti na zamani kabla ya hii operation...
 
Uzuri Kwa Sasa Polisi Wana teknolojia kutoka Marekani ,China, na Israel Kwa hiyo hata Hawa Panya rod. Humu watasakwa TU mana wanahamasisha uhalifu na kuzua taharuki kuwa Polisi wameua watu wengi na upumbavu Mwingine
Hahahha kwahiyo humu napo kuna panya road
 
( A man who has nothing to lose is a dangerous man. ) panya road hawana lakupoteza....enyi nyie wanasiasi vipofu mnakuwa wapi pindi PANYA ROAD WANAPO WAUA RAIA WASIO NA HATIA? mbona mnakuwa kimya, why it inapokuwa vice verser ndipo tu mnatema nyingo?? hii inanipa kufikiri kuwa yawezekana matukio ya kiarifu ni mtaji wa kisiasa kwa WAPINZANI wa Nchi hii Vijana wataftaji kwa jasho letu ni wakati wa kuzinduka hawa Wapinzani ni wapotoshaji
 
Jeshi ni moja tu (jeshi la wananchi) polisi na magereza ni raia wakakamavu hilo ndio tambua leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…