Niliyoyanena kuhusu watu X na Y yametimi.

[emoji2955]
 
Mkuu shukurani
Watu kama nyie mkifanikiwa watu wanabak wakijiuliza mbona furan mambo yanaenda tuu, hajawai kulia...
Kumbe una mema mengi.

Achana nao wasiopenda ukweli
Watapata tabu sana mm nawatabilia kabisa na pia imeandikwa, watapata mapigo yao tu.
 
[emoji23][emoji23] shenzi sana hawa walikuwa wanatafuta Pesa za skukuu.. bad enough wamekuwa nje ya malengo ya Makusanyo yao.
Sidhani kama wachangiaji walifika 10
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Inshaallah.
 
Je kama wamefanya?

Feedback ni muhimu iwe wamefanya au hawajafanya. Fikiria kama wamefanya na hawajatoa feedback halafu huku kuna hizi kelele unadhani wadau watabaki na majibu gani?

Na hili siyo hapa tu, watanzania wengi tuna shida ya kutotoa feedback, hasa kama jambo halikifanikiwa ilivyopaswa, unakuta mtu umemtuma kazi fulani, anakwama mahali halafu anajikausha mpaka ule muda mliokubaliana unapita, mpaka wewe umpigie ndo unapewa taarifa au anakurusha ntakupigia! Tunahitaji kubadilika kwa kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…