Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Ninajivunia kukomboa kundi kubwa la watu ambao kimsingi walikuwa wanaenda kutapeliwa na wanawake X na Y ambao walitaka kutumia mgongo wa JF kujipatia pesa kwa kigezo cha kuandaa party.
Kiukweli nilikuwa nina mashaka nao sana hata kama miaka ya nyuma kweli walikuwa wanaandaa party na zinafanikiwa ila kulingana na michango yao ya mwaka huu ilikuwa inaonesha wana shida kwa kiasi gani na ni mbaya sana kumkabidhi mtu pesa haswa yule ambaye ana matatizo ya kiuchumi.
Mbali na hilo niliwahoji itakuwaje watu wakatoa michango halafu kwa bahati mbaya party isifanyike watafanya utaratibu gani wa kuwarudishia watu pesa zao, kiukweli walinitukana sana tena kwa id's tofauti tofauti badala ya kutoa majibu ya kuridhsha ila nikaamua kukaa kimya tu.
Ninakumbuka pia nilishauri ni vyema wachague sehemu halafu kila mmoja aje na pesa yake mkononi sio masuala haya ya kuchangishana mitandaoni mbaya zaidi kwa watu ambao huwajui kabisa sura zao.
Nina imani yale mashaka yangu yametimia party haijafanyika na waliotoa pesa ambao ninadhani hawafiki hata 10 pesa zao zimeenda na maji ,poleni sana kwa hilo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Kiukweli nilikuwa nina mashaka nao sana hata kama miaka ya nyuma kweli walikuwa wanaandaa party na zinafanikiwa ila kulingana na michango yao ya mwaka huu ilikuwa inaonesha wana shida kwa kiasi gani na ni mbaya sana kumkabidhi mtu pesa haswa yule ambaye ana matatizo ya kiuchumi.
Mbali na hilo niliwahoji itakuwaje watu wakatoa michango halafu kwa bahati mbaya party isifanyike watafanya utaratibu gani wa kuwarudishia watu pesa zao, kiukweli walinitukana sana tena kwa id's tofauti tofauti badala ya kutoa majibu ya kuridhsha ila nikaamua kukaa kimya tu.
Ninakumbuka pia nilishauri ni vyema wachague sehemu halafu kila mmoja aje na pesa yake mkononi sio masuala haya ya kuchangishana mitandaoni mbaya zaidi kwa watu ambao huwajui kabisa sura zao.
Nina imani yale mashaka yangu yametimia party haijafanyika na waliotoa pesa ambao ninadhani hawafiki hata 10 pesa zao zimeenda na maji ,poleni sana kwa hilo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].