Niliyoyaona baada ya kuita roho za giza kwa kutumia OUJIA board (don't try this at home)

Hakunaga kitu kama hiki. utakua tu unakosea mahesabu ndugu yangu. Achana na hii imani kuwa makini kwenye mahesabu yako
Ndg, usilolijua ni sawa na usiku wa Giza ukiwahujawahi pata changamoto kama hiyo wala huwezi elewa mtu akikwambia hayo mambo, kikubwa omba usikutane nayo, ila ni mambo ambayo yapo kwa asilimia zote
 
Kiranga
 
Fanya mazoezi hiyo kitu ni nzuri ukiizoea mizimu ya mbele haizingui sana kama mizimu ya bongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…