Niliyoyaona baada ya kuita roho za giza kwa kutumia OUJIA board (don't try this at home)

Niliyoyaona baada ya kuita roho za giza kwa kutumia OUJIA board (don't try this at home)

Majini wana matabaka kama sisi.
Kuna wa hadhi ya chini na ya juu.
Ila upande wao wale wa hadhi ya chini ndio mapepo machafu labda uwatumie katika kuua na mambo mabaya ila mali ni ngumu.
Wale wa hadhi ambao wanapatikana mbali kama bahari za mbali,misitu minene au Mapango makubwa hao ndio wasafi na wamiliki mali.
Lete maneno kiongozi natumai huku nilipo wapo, maana kuna misitu ya kushato.

Hallelujah!!!
 
😹😹😹 kanikosea sana mimi situmii kilevi chochote.!!
Yeye anatafuta sababu za kuninyima mchongo na hao majini wake
Astaghfirullah!

Nilidhani kweli unapiga vyombo kumbe anatafuta namna tu ya kukunyima mchongo!

Uchoyo bora kwenye ugali na pesa ila mpaka kwenye majini, Laa haulaa!

Bw. Kosugi namna gani tena ndugu yangu? 😎😎😎
 
Astaghfirullah!

Nilidhani kweli unapiga vyombo kumbe anatafuta namna tu ya kukunyima mchongo!

Uchoyo bora kwenye ugali na pesa ila mpaka kwenye majini, Laa haulaa!

Bw. Kosugi namna gani tena ndugu yangu? 😎😎😎
Shangaa na wewe.!!
Majini nayo ya kumnyima mtu??
Waswahili wachoyo sana,
Tumuache wamtishe peke yake 😹😹😹
 
Eeh wamnyonge peke yake 😹😹😹
Unajua kimasihara masihara wasije wakamnyonga kweli ndugu yetu!

Bw. Kosugi ndugu yangu,

Nikivuta picha yule aliyekushika alikuachia alama mkononi kwa muda mpaka ukawa unashindia kanzu. Sasa wakikunyonga!!....Laa haulaaa!

Mimi bado nakuhitaji ndugu yangu, ebu fanya toa connection ya majini bidada awaone!

Angalau lolote likikutokea, angalau uwe na watu wa kukulipia kisasi. 😁😁😁

Kisasi ni haki ndugu yangu. Yaani ukisikia jini karogwa kwa ajili yako tutalifanya! 😁
 
Unajua kimasihara masihara wasije wakamnyonga kweli ndugu yetu!

Bw. Kosugi ndugu yangu,

Nikivuta picha yule aliyekushika alikuachia alama mkononi kwa muda mpaka ukawa unashindia kanzu. Sasa wakikunyonga!!....Laa haulaaa!

Mimi bado nakuhitaji ndugu yangu, ebu fanya toa connection ya majini bidada awaone!

Angalau lolote likikutokea, angalau uwe na watu wa kukulipia kisasi. 😁😁😁
Mlevi huyo achana naye 😂😂😂😂😂.
Mamaa wa Hanson choice utamuweza wapi!?
 
Umekubali kuwa wewe ni muongo case closed! Eti unajua hadi lucifer anafananaje?... bwana weeeeeeee
Umekubali kuwa kanisani unaenda kupoteza muda kwa kusikiliza hadithi za kutunga zisizokuwa na kweli yoyote maana biblia imejaaa habari za uwongo
Umezisikia habari za Yesu kwa kuwa Yesu ni hadithi za kutunga we umewahi kuijua sura ya yesu
 
KAMA UMEPIGA PUNYETO KWA MDA MREFU NA UNAPITIA CHANGAMOTO YA NGUVU ZA KIUME

Tafuta
1.Asali mbichi ya nyuki wadogo lita moja,
2.Tangawizi kubwa nne au sita [osha, menya kisha katakata vipande],

3.Vitunguu saumu ujazo wa glass moja [menya vizuri kuondoa maganda yake],

3.Unga wa msamitu vijiko nane,
4.Unga wa mdalasini vijiko sita mpaka nane,
5.Unga wa habat sawda [black seed] vijiko vinne mpaka sita.

Chukua Tangawizi na Vitunguu saumu uweke kwenye blenda kisha usage mpaka vyote viwe laini.

Weka Unga wa Msamitu, Mdalasini na Unga wa Habat soda kwenye blenda kisha taratibu huku ukiwa umewasha blenda mimina taratibu Asali mbichi ya nyuki wadogo mpaka lita nzima iishe kwa muda wa kama dakika mbili juisi yako itakuwa tayari.

Zima blenda na uweke juisi yako kwenye kifungashio safi ikae kwa masaa ....baada ya hapo itakuwa tayari kwa matumizi

MATUMIZI YAKE
kujua matumizi yake
bonyeza hapa
👇

Au
Wasiliana nasi kwa Kupiga Simu

🤳 0658283250

AFYA Mkononi
Tunajali Afya Yako
IMG-20240716-WA0084(1).jpg
 
Umekubali kuwa kanisani unaenda kupoteza muda kwa kusikiliza hadithi za kutunga zisizokuwa na kweli yoyote maana biblia imejaaa habari za uwongo
Umezisikia habari za Yesu kwa kuwa Yesu ni hadithi za kutunga we umewahi kuijua sura ya yesu
Wacha kuruka mahoka, ishu sio mimi ni wewe kuwa muongo,nimekuumbua unahangaika. Ungekua na akili ungeweka hapa huyo lucifer unayemjua anafananaje, badala yake umekazana kusema kanisa, kama Wengine wanadanganya ndio na wewe udanganye?...light and sound level, mind barrier ulikua uzushi au vipi bwana weeeeee?!
 
Wacha kuruka mahoka, ishu sio mimi ni wewe kuwa muongo,nimekuumbua unahangaika. Ungekua na akili ungeweka hapa huyo lucifer unayemjua anafananaje, badala yake umekazana kusema kanisa, kama Wengine wanadanganya ndio na wewe udanganye?...light and sound level, mind barrier ulikua uzushi au vipi bwana weeeeee?!
Si unataka kuona sura za watu tunaomba utuwekee picha ya Yesu kama unamjua yaan kinyago mnakitunga halafu mnakiogopa
Mimi nimekuambia wewe msema kweli mbona kanisani kila jumapili unafundishwa habari za uwongo lakini uwaambii kama ww msema kweli biblia imejaa stori za uwongo hata siku moja hujawahi sema sasa huo usema kweli wako uko wapi msema kweli
 
Si unataka kuona sura za watu tunaomba utuwekee picha ya Yesu kama unamjua yaan kinyago mnakitunga halafu mnakiogopa
Mimi nimekuambia wewe msema kweli mbona kanisani kila jumapili unafundishwa habari za uwongo lakini uwaambii kama ww msema kweli biblia imejaa stori za uwongo hata siku moja hujawahi sema sasa huo usema kweli wako uko wapi msema kweli
Wewe ni muongo period! Nimekuuliza kwa vile wengine wanaongea uongo ndio na wewe uongee uongo?!...kubali kwanza kama wewe ni muongo halafu ndio utake kujua dini yangu na ukweli wangu
 
Upo ila mashati yao ni matatu;
-Uwe haujazini kwa muda angalau miezi mitatu.
-Uwe hujatumia kilevi kwa muda wa miezi mitatu.
-Uwe hujatumia tumbaku pia kwa muda huo huo.
Nimekidhi vigezo vyote..
Tena kwa miezi 12 kwa kila kipengele
 
Wewe ni muongo period! Nimekuuliza kwa vile wengine wanaongea uongo ndio na wewe uongee uongo?!...kubali kwanza kama wewe ni muongo halafu ndio utake kujua dini yangu na ukweli wangu
Sasa kama unafata biblia yenye habari za uwongo na kuiamini automatically wewe pia muongo maana haiwezekan ukubali habari za uwongo halafu wewe uwe mkweli kitendo cha kukubali na kufata biblia yenye hadithi za kubuni na za uwongo kimantiki wewe muongo kama wewe muongo utaweza vipi kuujua ukweli
 
hao wa hadhi mimi ndio nawataka wanipe hizo mali na mihela
Majini wana matabaka kama sisi.
Kuna wa hadhi ya chini na ya juu.
Ila upande wao wale wa hadhi ya chini ndio mapepo machafu labda uwatumie katika kuua na mambo mabaya ila mali ni ngumu.
Wale wa hadhi ambao wanapatikana mbali kama bahari za mbali,misitu minene au Mapango makubwa hao ndio wasafi na wamiliki mali.
 
Sasa kama unafata biblia yenye habari za uwongo na kuiamini automatically wewe pia muongo maana haiwezekan ukubali habari za uwongo halafu wewe uwe mkweli kitendo cha kukubali na kufata biblia yenye hadithi za kubuni na za uwongo kimantiki wewe muongo kama wewe muongo utaweza vipi kuujua ukweli
Hujakataa kama wewe ni muongo sio??? Hii ya kupoint fingers wengine ni waongo doesn't do you any favour....sana sana inaonyesha jinsi ulivyokuwa unataka kutupiga kamba, dogo hapa JF sio kwa watoto wenzio...mnaocheza chandimu..stori za fix kawadanganye watoto wenzio.. alamsiki ...naona hukubali unaona una reputation to protect baada ya kutudanganya..Pole weweeeeee...unajijua ni muongo bye
 
Hujakataa kama wewe ni muongo sio??? Hii ya kupoint fingers wengine ni waongo doesn't do you any favour....sana sana inaonyesha jinsi ulivyokuwa unataka kutupiga kamba, dogo hapa JF sio kwa watoto wenzio...mnaocheza chandimu..stori za fix kawadanganye watoto wenzio.. alamsiki ...naona hukubali unaona una reputation to protect baada ya kutudanganya..Pole weweeeeee...unajijua ni muongo bye
Ili wewe uwe msema kweli inabidi ukae mbali na uwongo kitendo cha kufuata biblia yenye stori za uwongo kimantiki wewe pia muongo kama ingekuwa wewe sio muongo usingekubali kufuata biblia yenye hadithi za uwongo sasa huo usema kweli wako upo wapi
Ole wako muongo kwa maana atatupwa katika jehanum 2 Neh 9:34
Sasa kwa uwongo wako huu Moto unakusubiri ukuchome
 
Back
Top Bottom