Niliyoyaona baada ya kuita roho za giza kwa kutumia OUJIA board (don't try this at home)

Niliyoyaona baada ya kuita roho za giza kwa kutumia OUJIA board (don't try this at home)

We BHANA.
Mie sizungumzii vinafsi vichafu vipepo holela alivyoviita mleta mada ambavyo hata kwenye vikombe wanakaa.
Hapa nawazungumzia marohani wa majina ya kijani wa koo za falme za kirohani ambao kuwakuta kwao ni Baharini,Misitu minene,Mapango makubwa ama chini ya ardhi.
Hao unawaita kwa qassam za kiarabu maana hiyo ndio lugha yao ya kwanza.
Ila wakishafika unaweza kuongea nao lugha yeyote.
Hao sio poa hawakai chooni au kwenye vikombe.
Umefanya nikumbuke Iblis alivyosema aliita akaja mtu mwenye miaka 400.
Alivyomuomba ampe historia ya miaka hiyo akampa masharti ya kujipaka maji machafu ya chooni 😂😂😂😂
Kweli vibwengo vya kiswahili vina hila na roho mbaya..!!!
 
Umefanya nikumbuke Iblis alivyosema aliita akaja mtu mwenye miaka 400.
Alivyomuomba ampe historia ya miaka hiyo akampa masharti ya kujipaka maji machafu chooni 😂😂😂😂
Kweli vibwengo vya kiswahili vina hila na roho mbaya..!!!
Majini wana matabaka kama sisi.
Kuna wa hadhi ya chini na ya juu.
Ila upande wao wale wa hadhi ya chini ndio mapepo machafu labda uwatumie katika kuua na mambo mabaya ila mali ni ngumu.
Wale wa hadhi ambao wanapatikana mbali kama bahari za mbali,misitu minene au Mapango makubwa hao ndio wasafi na wamiliki mali.
 
Majini wana matabaka kama sisi.
Kuna wa hadhi ya chini na ya juu.
Ila upande wao wale wa hadhi ya chini ndio mapepo machafu labda uwatumie katika kuua na mambo mabaya ila mali ni ngumu.
Wale wa hadhi ambao wanapatikana mbali kama bahari za mbali,misitu minene au Mapango makubwa hao ndio wasafi na wamiliki mali.
Ndio lete connection sasa 😹😹😹
 
Hahaha!

Unajua huyu ndugu yangu ni Yanga, na watu wa Yanga wana umanara umanara kidogo si unajua?!

Ila nitapmbana naye atakuonyesha na utawaona tu 😁

Cc Kosugi
Huyo bana atakuwa na vibwengo na vigagula vya kiswahili ananichosha 😹😹😹
 
Back
Top Bottom