Niliyoyaona huku meatu

dimaa

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
4,174
Reaction score
5,658
Hakika katika mikoa ambayo bado kimaendeleo ni simiyu.


Nilipita bariadi hata lami bado, kutokea shinyanga. Pia katika wilaya ya itilima ni kama kijiji flani tu.

Nilipofika bariadi ni kisukuma tu kwa kwenda mbele.

Nipo meatu hapa, kidogo kumeendelea, lakini cha kilichonishangaza ni baiskeli inatumika kama bodaboda, yaani kupeleka abiria kwenda sehemu mbalimbali.
 
Ni kawaida huko kwa sisi wasukuma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] itilima!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni muongo flan hv ameizing!

Maswa kuna lami ambayo inaanzia mwigumbi to bariadi. Bariadi kuna lami muda mrefu tofauti na maswa na lami ya bariadi inatokea lamadi.

Kwenye maendeleo kwa kweli maswa ndo iko nyuma naweza sema,,,bariadi kwa mkoa wa Simiyu ndo wanaongoza kwa maendeleo hasa kibiashara. Meatu nao hawako nyuma sana japokuwa bado



Tatizo la Mkoa wa Simiyu ,zamani watu waliachwa wakate miti hovyo hivyo kusababisha dalili za jangwa lkn chini ya jemedari Mkuu wa Mkoa Mtaka hakika SIMIYU Itakuwa juu

Bila kusahau...tuna viwanda mbalimbali katika Mkoa ,km vile kiwanda cha ngozi, kiwanda cha chalks, kiwanda cha kuchakata maziwa.

Kila jambo zuri huwa na mwanzo mzuri! Tunatarajia makubwa MKOA WA SIMIYU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasukuima na maendeleo ni vitu viwili tofauti. Hamieni Morogoro kuna neema!! Mje kutubebea mapakacha ya mboga.
 
Baiskeli hata Tanga zipo na bado ina hadhi ya jiji.

#utakula kiburi yako.
 
Musoma mjini pia baiakeli hutumika kama boda boda,ni mkoa ambao wanawake kuendesha baiskeli ni kitu cha kawaida mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado kupo nyuma sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…