Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
wewe ni mshamba kweli kweli, usafiri wa baiskeli ni mikoa karibu yote tz.Hakika katika mikoa ambayo bado kimaendeleo ni simiyu.
Nilipita bariadi hata lami bado, kutokea shinyanga. Pia katika wilaya ya itilima ni kama kijiji flani tu.
Nilipofika bariadi ni kisukuma tu kwa kwenda mbele.
Nipo meatu hapa, kidogo kumeendelea, lakini cha kilichonishangaza ni baiskeli inatumika kama bodaboda, yaani kupeleka abiria kwenda sehemu mbalimbali.
Majuzi juzi eneo la bahari beach kule Kunduchi usafiri huu ulikuwa unatumika, Arusha pale Mount Meru hotel, Sanawari nk, Tabora, Shinyanga, Mwanza nk