Niliyoyaona huku meatu

wewe ni mshamba kweli kweli, usafiri wa baiskeli ni mikoa karibu yote tz.
Majuzi juzi eneo la bahari beach kule Kunduchi usafiri huu ulikuwa unatumika, Arusha pale Mount Meru hotel, Sanawari nk, Tabora, Shinyanga, Mwanza nk
 
wewe ni mshamba kweli kweli, usafiri wa baiskeli ni mikoa karibu yote tz.
Majuzi juzi eneo la bahari beach kule Kunduchi usafiri huu ulikuwa unatumika, Arusha pale Mount Meru hotel, Sanawari nk, Tabora, Shinyanga, Mwanza nk
Sasa matusi ya nini?, toa fact tu sepa mbele, afu unasema '' ulikuwa" long time
 
Babe hiyo crdb ndio iliyofunguliwa juzi juzi eenh
 
Kweli rafiki mmekaa usukumani,nimeolewa huko,nawajua vzr na ushamba ndo asili yao!!![emoji2] [emoji2]
Yaani hao jamaa na baskeli ni kama kofia na kichwa...

Ni asili yao kabisa ila kwa sasa wamesoma soma na imani watajitahidi kwenda na wakati [emoji4] [emoji4]
 
Na walioshika dola wanataka kuturudisha hukohuko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…