Niliyoyasema kuhusu Mange Kimambi Yametimia

Niliyoyasema kuhusu Mange Kimambi Yametimia

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Tangu awali nilikuwa ninaanzisha nyuzi nyingi sana kuhusu urafiki wa kinafiki uliokuwa kati ya Hamisa Mobeto na Mange Kimambi, japo wachache walinielewa ila wengi walikuwa wananipinga sana ,ila kwa sisi bila shaka mmejionea wenyewe jinsi huyu Mange Kimambi alivyo nyoka .

Mange ni mwanamke mwenye husda, roho mbaya na kijicho na huwa anajitahidi kujifanya mwema ili akuchunguze kiundani hatimaye akudhalilishe.


Hivi kwa ule urafiki uliopo kati yake na Hamisa anaweza kweli akamtusi mama mzazi wa Hamisa Mobeto bila aibu?


Kiukweli mnaomahabikia Mange Kimambi mjitazame mara mbili mbili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangu awali nilikuwa ninaanzisha nyuzi nyingi sana kuhusu urafiki wa kinafiki uliokuwa kati ya Hamisa Mobeto na Mange Kimambi, japo wachache walinielewa ila wengi walikuwa wananipinga sana ,ila kwa sisi bila shaka mmejionea wenyewe jinsi huyu Mange Kimambi alivyo nyoka .

Mange ni mwanamke mwenye husda, roho mbaya na kijicho na huwa anajitahidi kujifanya mwema ili akuchunguze kiundani hatimaye akudhalilishe.


Hivi kwa ule urafiki uliopo kati yake na Hamisa anaweza kweli akamtusi mama mzazi wa Hamisa Mobeto bila aibu?


Kiukweli mnaomahabikia Mange Kimambi mjitazame mara mbili mbili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kweli kuna mijitu kabisa inamkubali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangu awali nilikuwa ninaanzisha nyuzi nyingi sana kuhusu urafiki wa kinafiki uliokuwa kati ya Hamisa Mobeto na Mange Kimambi, japo wachache walinielewa ila wengi walikuwa wananipinga sana ,ila kwa sisi bila shaka mmejionea wenyewe jinsi huyu Mange Kimambi alivyo nyoka .

Mange ni mwanamke mwenye husda, roho mbaya na kijicho na huwa anajitahidi kujifanya mwema ili akuchunguze kiundani hatimaye akudhalilishe.


Hivi kwa ule urafiki uliopo kati yake na Hamisa anaweza kweli akamtusi mama mzazi wa Hamisa Mobeto bila aibu?


Kiukweli mnaomahabikia Mange Kimambi mjitazame mara mbili mbili.

Sent using Jamii Forums mobile app
We Jamaa Una Boa Sana, Kufatilia Mambo Ya Wanawake, Imebidi Nikwambie Tu,
 
mtu yuko marekani lakini anakufanyia rohombaya wewe uliye tandale na bado inakuuma duh!
 
Yaani nilipoona ile post nikakukumbuka hans nikasema yametimia katumia lugha mbaya sana ingawa ni kawaida yake lakini hakupaswa kumtukana mama mzazi wa mtu mwingine vile sasa yale maneno watu walisema alikuwa hampendi wala kumjali mama yake mzazi unaanza ona yanawezekana kuwa kweli
Pole hamisa ingawa tabia zako sizipendi na unauswahili mwingi
 
Tangu awali nilikuwa ninaanzisha nyuzi nyingi sana kuhusu urafiki wa kinafiki uliokuwa kati ya Hamisa Mobeto na Mange Kimambi, japo wachache walinielewa ila wengi walikuwa wananipinga sana ,ila kwa sisi bila shaka mmejionea wenyewe jinsi huyu Mange Kimambi alivyo nyoka .

Mange ni mwanamke mwenye husda, roho mbaya na kijicho na huwa anajitahidi kujifanya mwema ili akuchunguze kiundani hatimaye akudhalilishe.


Hivi kwa ule urafiki uliopo kati yake na Hamisa anaweza kweli akamtusi mama mzazi wa Hamisa Mobeto bila aibu?


Kiukweli mnaomahabikia Mange Kimambi mjitazame mara mbili mbili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usiingilie maisha ya mtu binafsi,maisha yake binafsi hayatuhusu sisi,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado tunamdai maandamano yetu ya kumng'oa jiwe huyu mama! hahahaha!
 
Back
Top Bottom