Niliyoyasema kuhusu Mange Kimambi Yametimia

Niliyoyasema kuhusu Mange Kimambi Yametimia

Hasira za kuachwa na mzungu, nahisi yule mzungu kishampiga chini. Maana anaonekana ana stress na soon atarudi kwenye siasa

Arudi tu kwenye siasa, maana wengine tuli-install app ya insta kwa sababu yake, alivyoacha tuka-uninstall.

Ingawa alikuwa na chai nyingi ila aliwajambisha sana jamaa.
 
Tangu awali nilikuwa ninaanzisha nyuzi nyingi sana kuhusu urafiki wa kinafiki uliokuwa kati ya Hamisa Mobeto na Mange Kimambi, japo wachache walinielewa ila wengi walikuwa wananipinga sana ,ila kwa sisi bila shaka mmejionea wenyewe jinsi huyu Mange Kimambi alivyo nyoka .

Mange ni mwanamke mwenye husda, roho mbaya na kijicho na huwa anajitahidi kujifanya mwema ili akuchunguze kiundani hatimaye akudhalilishe.


Hivi kwa ule urafiki uliopo kati yake na Hamisa anaweza kweli akamtusi mama mzazi wa Hamisa Mobeto bila aibu?


Kiukweli mnaomahabikia Mange Kimambi mjitazame mara mbili mbili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Weka caption tuone maana kwenye pagr yake sijaiona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangu awali nilikuwa ninaanzisha nyuzi nyingi sana kuhusu urafiki wa kinafiki uliokuwa kati ya Hamisa Mobeto na Mange Kimambi, japo wachache walinielewa ila wengi walikuwa wananipinga sana ,ila kwa sisi bila shaka mmejionea wenyewe jinsi huyu Mange Kimambi alivyo nyoka .

Mange ni mwanamke mwenye husda, roho mbaya na kijicho na huwa anajitahidi kujifanya mwema ili akuchunguze kiundani hatimaye akudhalilishe.


Hivi kwa ule urafiki uliopo kati yake na Hamisa anaweza kweli akamtusi mama mzazi wa Hamisa Mobeto bila aibu?


Kiukweli mnaomahabikia Mange Kimambi mjitazame mara mbili mbili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo walivyo wanawake wa dini hiyo,
Japo ntakashifiwa,lkn wanauwajua wanawake wa dini hyo watakili kuwa huyo Dada anadhihirisha na kuwakilisha kwa uwazi kabisa tabia zao,
Husda wivu nk ndo kwao
Sishangai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Napenda kujua uhusiano kati ya Mange na Lugumi
 
IMG_20190128_144124.jpg
 
Back
Top Bottom