Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Sishangai wewe kuandika hivi,haswa nikikumbuka kipindi kile ulivyoandika thread kuwa amekamatwa.....pole sana unatia hurumaHasira za kuachwa na mzungu, nahisi yule mzungu kishampiga chini. Maana anaonekana ana stress na soon atarudi kwenye siasa
Mkuu Unamaanisha Huyu Ni Bwabwa? Au Ni Ke?? Aisee Anisamehe BureMkuu acha kumkosea heshima,kwani nani kakuambia Jamaa ni mwanaume
Mwambie aache ushambenga